Mkuu fittee n turner anafanya,.hapo anachagua chuma kama 20mm kisha anakata size ya uhitaji,anatoboa size ya tundu la uhitaji kwa kutumia bench drill,na hizo tools zote mtu wa fitter n turner anatumia.Kwa hiyo unataka kuniambia mtu wa Fitter n turner hana ujuzi wa kuchonga hicho chuma kwa size hiyo?