uvutaji wa sigara unapunguza nguvu za kiumeHuu ujumbe wa zamani sana. Hivi hakuna updated version kweli?
Tafadhali mwenye taarifa ya ninapoweza kununua e cigarettes hapa Dar naomba msaada. Ikiwezekana na prices zake. Walio ng'ambo na wanategemea kuwepo Dar weekend hii pia mnaweza kunisaidia.
Tafadhali mwenye taarifa ya ninapoweza kununua e cigarettes hapa Dar naomba msaada. Ikiwezekana na prices zake. Walio ng'ambo na wanategemea kuwepo Dar weekend hii pia mnaweza kunisaidia.
Nyie wote mnaojifanya mlio comment kabla yangu pengine hamjui hata hiyo e cigarettes ni nini.
Si mkae kimya!
Nyie wote mnaojifanya mlio comment kabla yangu pengine hamjui hata hiyo e cigarettes ni nini.
Si mkae kimya!
Hakuna dawa aina yoyote ya kuwacha sigara au bangi dawa pekee ya kueacha ni moyo wako na imaani yako na nafsi yako ndo dawa hiyo na tusidanganyane hapo
Lete kama pisi ef tano kwa kuanzia
Tuwasíliane mkuu tufanye biashara.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums