Wapi naweza jifunza vifaa vya mziki dar es salaam?

Wapi naweza jifunza vifaa vya mziki dar es salaam?

mkulasi

Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
16
Reaction score
11
Habari,
Nataka kuanza kujifunza vifaa vya mziki kama guitar na kinanda, wakati wa jioni kuanzia saa moja usiku kuendelea.
Naomba ushauri wa wapi naweza pata mwalimu au shule ya namna hii hapa dar kwa bei ambayo sio ghari?
 
Back
Top Bottom