Wapi napata ngozi kavu za ngombe

Wapi napata ngozi kavu za ngombe

Mtafute nanaki anaweza akawa anafanya na biashara ya kuua pia ngom'be.
 
​Loh, yaani ngozi uje utafutie Dar? Hawa wa Dar waulize nyama tu, ngozi kaulize Shinyanga, Dodoma, Mwanza, Singida, Tabora nk.
 
nimesema wapi si lazima iwe Dar pekee. ila najua umahiri wa packing upo dar
 
ngozi kavu processed au un-processed?

kama ni processed..ninaweza kukusaidia kupata aina zote(hair-on,kips,upholstery n.k),bei ni 3000 per square feet...na 5000 kwa upholstery
 
Snochet na Cybertech nawaombeni mni inbox . niwashukuru kwa majibu yenu mazuri
 
Back
Top Bottom