Wapi nakosea?


Nahisi wewe akili zako hazipo sawa,na hujasoma stori yote ukaelewa pia hujawahi pitia tabu hata kidogo kwenye maisha ndo maana unakurupuka kumshambulia.Jichunguze nahis utagundua umeandika pumba na mashudu hapa.
 
Forgiving and Forgetting is the first step towards healing such wounds my friend.
...come on now! forgiving n forgetting is actually impossible for a situation like his...
 

Ni kweli kabisa kabisa!tena kwa kumjali na kumuona ndo mungu anazidi kukufungulia milango ya baraka
 
Nashukuru sana, nafanya mchakato wa ruhusa ofisini ya wiki 1 niende nikamuone!

pole na hongera kwa uvumiluvu na busara.naaminpi hadi kufikia hapo moyo wako.unakuongoza vyema.ipo.cku utasahau yote.
 
Pole saana , life is full of challenges. pamoja na yote uliyoyapitia still huyo ndiye ur real papa. Msamehe tu na through kumsamehe utafanikiwa 1000000000 times. kuhusu kumsaidia , msaidie vile uwezavyo achana na lawama maana binadamu ufanikiwapo kila mtu anatamani uwe ATM yake. Hata wakulaumu vipi upatapo nafasi ya kumsaidia mzazi wako hiyo ni tunu na roho ya utu ambayo utaipandikiza hata kwa wanao na vizazi vyako vyote.

Keep it up ukijua Mungu yupo upande wako.
 
slim5 are serious hii ni issue iliyokutokea au story tu? kama ni kweli pole kwa yaliyokukuta aiseeee
 
Last edited by a moderator:
May your wish be granted young man.
 
pole sana..ur the.hero u.came from zero to hero..msaidie kadri uwezavyo..baba ni mmoja tu duniani huwezjua nani alikua na kosa kati yake na mama..wewe mpende na mhudumie kadri uwezavyo..isimnyanyapae
 
Mmh huruma hii jaman kwa kweli mungu ni mwema kila siku endelea kumuombea kwa mwenyez mungu aweze kupona lakin pia ni vizur ukaenda kumuona mmalize tofauti uishi kwa aman ya moyo.
jaman mzazi ni mzazi tu hakuna jinsi
 
Mhh kwanza hongera mana dah..yataka moyo kwa kweli,poleh sana with ur background jmn...omba Mungu akupe moyo wa kumsamehe,then mhudumie utakavoweza,mengine muachie Mungu
 
Mimi nadhani mpaka unamsaidia kumpa support, nikupe hongera tu, mana wazazi kama hao wengine tungeshamzika mioyoni mwetu ili hali yupo... tena mzima wa afya.
 



Pole kaka I feel it too...I just passes a somewhat a similar kind of life 'single parent" and the worst thing is my daddy passed away one year ago hzo lawama za kutompenda baba nilizipokea sana tu and some even said umefurah ss babaako kafariki? Unampenda sana mamaako ww kuliko baba..hv utaachaje kumpenda mzazi alieangaika na ww kukusomesha etc? Karma has no menu wazaz wa hvyo wanalupiwa hapa hapa duniani...nilikua naumia nikimuona my step young sister anasomeshwa na nakutana nae mjin anawaka akat huki mama yetu anahangaika na ss (na my young bro) as if we dont have a daddy..anyway RIP dady nisiongee mengi ila jua kaka mwenye post I feel it and I know hw it is be strong do what u can usifatshe wanasema nn live ur own life..saidia unapoweza ukishindwa usijiforce..pole sana
 
Pole kwa mapito hayo.
Kibinaadamu ungetamani mama angekuwepo sasa kufaidi matunda ya malezi yake lakini jua Mungu ana makusudi yake.
Mhudumie baba yako kadri utakavyoweza hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa.
Timiza wajibu wako kama mtoto,kwa aliyowafanyia ni ngumu ila inawezekana.
Mwisho wa siku ndio mzazi wako pekee aliyebaki.
 
Nenda kamuone na umwambie ushenzi wake ayubu ili Hata akienda mbele ya haki Mungu amsamehe
 
Pole sana kwa yote.
Ni ngumu lakini nakuomba umsaidie tu kwa kadri ya uwezo wako tena nenda hata ukamtembelee..kwa moyo safi tu.Mungu aliyekupigania mpaka ukafika hapo ulipo,atakubariki zaidi na zaidi.
Hongera kwa mkeo na Mungu azilaze roho za mama na kaka yako pema peponi.
Na zaidi akutie nguvu
 
slim5 are serious hii ni issue iliyokutokea au story tu? kama ni kweli pole kwa yaliyokukuta aiseeee

Sista hii ni story ya kweli, inanihusu kabisa! ktk vitu ambavo bado naumia, ni hata sitaki kuskia watoto wng watumie surname ambayo mimi naitumia, nataka ukoo wao uanzie kwangu tu!
 

Ennie umeingia ktk moyo wangu! Napata tabu sana ku-define huu msamiati "Mzazi"
 
Nahisi wewe akili zako hazipo sawa,na hujasoma stori yote ukaelewa pia hujawahi pitia tabu hata kidogo kwenye maisha ndo maana unakurupuka kumshambulia.Jichunguze nahis utagundua umeandika pumba na mashudu hapa.

Sijajisifu kwa mafanikio Bupe, sina uwezo kivile, sio tajiri, ni muajiriwa wa serikali, wa kada ya kawaida sana! nimejaribu kuwaonyesha walimwengu namna gn maisha ya duniani yalivo, na mungu alivo na mipango yake! Namsaidia lkn sifurahishwi na shinikizo nnazopata kutoka kwa ndg na jamaa zake tena wngne hata kunijua hawanijui, eti sijajitolea vya kutosha! Inawezekana nina roho mbaya, sawa lakini yeye ana mchango ktk roho mbaya yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…