W Waambi JF-Expert Member Dec 4, 2012 737 81 Apr 7, 2014 #1 Hivi Mrina bar na gesti iko wapi hapa Dar? Mambo yake ni kama Mrina ya Arusha?
Kv-london JF-Expert Member Jan 24, 2014 2,816 4,803 Apr 7, 2014 #4 Ipo maeneo ya manzese ful raha shuka kituo kinaitwa chama kama unatokea posta na shuka kituo cha tip-top kama unatokea kimara au mbez
Ipo maeneo ya manzese ful raha shuka kituo kinaitwa chama kama unatokea posta na shuka kituo cha tip-top kama unatokea kimara au mbez
bily JF-Expert Member Apr 5, 2012 8,030 5,772 Apr 7, 2014 #6 Ipo pale bugurini inaitwa kimboka by 9t au haipo cku ile..