alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Ilizoeleka kwa siku za hivi karibuni ndg Mark J Mwandosya alikuwa anatumia kurasa zake ktk social media kuongelea mambo kadha wa kadha.
Lkn tokea kadhia hii ya ttcl na Airtel iibuliwe Mark J Mwandosya haongelei lolote tena ktk kurasa zake km ilivyokuwa ada yake!
Mbona ghafla mzee wetu umetukimbia?!
Lkn tokea kadhia hii ya ttcl na Airtel iibuliwe Mark J Mwandosya haongelei lolote tena ktk kurasa zake km ilivyokuwa ada yake!
Mbona ghafla mzee wetu umetukimbia?!