Wapi kwa Dar hapa nitapata huu mkate ?

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,969
6,460
Juice nayo ni muhimu kwa hapo sehemu kama ipo
1459344288531.jpg
 
Me naona kuna mikate miwili pia so upi huo?maana huo mo1 utaupata bakery huo mwingine sasa labda CP Sirro alegeze kamba
 
Aisee wakuu hii kitu ya ku-fake bidhaa inauzwa au kinahitajika kitu then ukifungua unakutana na neema za Allah inatupa shida kidogo.duh!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom