Msaada: Nataraji kupokea wageni, wapi nitapata hosteli jijini Dar es Salaam?

Msaada: Nataraji kupokea wageni, wapi nitapata hosteli jijini Dar es Salaam?

covid 19

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
8,204
Reaction score
20,456
Wakuu habari za leo,

Natarajia kupokea wageni kutoka Malawi kama wanne hivi na wana budget ya chini sana.

Sasa na watakaa mwezi mmoja hapa sasa naomba kufahamishwa sehemu ambayo nitapata hostel kwa ajili yao.
 
Msimbazi center
Au pale UDSM wanafunzi wakifunga chuo unaweza pata pale mabibo hostel.
 
Wakuu habari za leo,

Natarajia kupokea wageni kutoka Malawi kama wanne hivi na wana budget ya chini sana.

Sasa na watakaa mwezi mmoja hapa sasa naomba kufahamishwa sehemu ambayo nitapata hostel kwa ajili yao.
Eneo labda la shughuli zao wapi ili kupunguza gharama za usafiri ili kuona hostel ipi iko karibu na bajeti yao kwani shilingi ngapi? Bila kujua bajeti yao inakuwa ngumu kushauri vizuri
 
Back
Top Bottom