VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 403
- 546
- Thread starter
- #21
Zinakuwaga tamu sana aisee! Ukila za Rwanda za bongo utakuwa unaona hazifai!!Hata Rwanda pia kutokana na uzoefu kutoka kwa waliowahi kuwala
Zinakuwaga tamu sana aisee! Ukila za Rwanda za bongo utakuwa unaona hazifai!!Hata Rwanda pia kutokana na uzoefu kutoka kwa waliowahi kuwala
Nenda karatu hao kama waethiopia jamani mbona waambulu wapo hata wapo pia kama wanyarwanda ni wewe . kama pia nyembamba IPO.Wadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo.Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.Wasichana warembo ni Ethiopia.Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?
Hapo ndo unachakata mpaka unakubali kama singida na babati toto za hatari nyeupe[emoji275][emoji275]Bongo watoto wazuri wachache ndio maana wanaringa sana Kuna baadhi ya nchi kila demu mkali!!
Somalians (ila 100% wametahiriwa kwa ajili ya imani ya dini yao), Ethiopia. Rwanda haiwazidi wanawake wa Tanzania kwa urembo, ni Wanyarwanda wachache sana wazuri ukilinganisha na hapa Tanzania. In fact ninadiriki kusema hata Ethiopia haiwazidi Tanzania kwa uzuri kivile ila ukimuona Muethipia mrembo ni chuma kweli kweli.Wadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo. Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.
Wasichana warembo ni Ethiopia. Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?
Yatakufaa kwa kilimo cha umwagiliaji!Kule pisi zina maji mengi💦
Babati kufanyaje mzazi! Wachizi tunataka dem pisi afu born townHapo ndo unachakata mpaka unakubali kama singida na babati toto za hatari nyeupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar wapo watoto wazuri sana, bongo malaya wengi sana, wizi na ujuaji ndio umetamalaki kuliko mahali pengie popote, Tanzanite ni zao la wachache tu ndio wanaonufaikaWadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo. Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.
Wasichana warembo ni Ethiopia. Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?
Tanzania nyama ya Tembo kila mwanamke wa dunia hii yupo Tanzania kwahiyo ulikuwa sahihi nothing is not available in Tanzania except true democracy tu.Wadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo. Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.
Wasichana warembo ni Ethiopia. Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?
WamekeketwaNenda karatu hao kama waethiopia jamani mbona waambulu wapo hata wapo pia kama wanyarwanda ni wewe . kama pia nyembamba IPO.
Hata nywele kama za singasinga zipo ni wewe tu
bro tanganyika ni kubwa sana.Zanzibar wapo watoto wazuri sana, bongo malaya wengi sana, wizi na ujuaji ndio umetamalaki kuliko mahali pengie popote, Tanzanite ni zao la wachache tu ndio wanaonufaika
Huyo jamaa yako ni kiazi.Wadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo. Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.
Wasichana warembo ni Ethiopia. Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?
Huwajui wahabeshi weweSomalians (ila 100% wametahiriwa kwa ajili ya imani ya dini yao), Ethiopia. Rwanda haiwazidi wanawake wa Tanzania kwa urembo, ni Wanyarwanda wachache sana wazuri ukilinganisha na hapa Tanzania. In fact ninadiriki kusema hata Ethiopia haiwazidi Tanzania kwa uzuri kivile ila ukimuona Muethipia mrembo ni chuma kweli kweli.