VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 402
- 539
Wadau nilikua Nina discuss na rafiki mmarekani mweusi kwa njia ya video call kwamba Tanzania inafahamika kwa kitu gani duniani.
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo. Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.
Wasichana warembo ni Ethiopia. Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?
Nikamwambia tunafahamika kwa vivutio vya utalii pamoja na wasichana warembo. Lakini akakataa akasema mnafahamika kwa Tanzanite.
Wasichana warembo ni Ethiopia. Nikaona sio kesi ngoja niwashilikishe wadau! Kati ya Rwanda na Ethiopia ipi ni kiboko yao?