Wapi kuna mafunzo mazuri ya martial arts Arusha?

Wapi kuna mafunzo mazuri ya martial arts Arusha?

i2thedi clockon pale wauza viatu ndo wapo sasa ntamuuliza nani?atleast kama una contacts za mtu anaeweza kunidirect nitashkuru sana mkuu nisaidie bana maujuzi yangu yanazidi kuyoyoma tu

Kwa hao wauza viatu ulizia mtu anaitwa master au ticha anafundisha hiyo michezo so anafahamu maeneo yote Arusha ya michezo hiyo I used to be 1 of his students fika atakudirect popote unapohitaji maana yeye na wenzie kadhaa walifundishwa na mchina mmoja sasa yeye amebase zaidi kwa biashara ila anafahamu madojo yote ni simple man you just meet with him and utanipa feedback
 
Kama upo dar na unataka njoo hapa ilala boma ccm hapa sokon mida kuanzia saa kumi...tunafanya tai chi na shaolin woshuu
Nimechangia thread ila kwa dizain ya promo sema sio kesy yote n kwa ajil ya upendo
 
good babjohn bahati mbaya nipo Arusha,dah ningekuja mkuu asante sana lakini
 
Nasikia kwenye baadhi ya nyumba za ibada...jaribu kupeleleza sina uhakika sana lakini lisemwalo yawezekana lipo...!
 
Back
Top Bottom