Apo nadhani nikuulize tu kwanini unataka kujifunza martial arts ?
Na je hizo category ambazo hauzitaki, unazifaham, au ni just tu huzitaki ?
Vijana wengi hupenda kujifunza martial arts ili wa apply mtaani, lakini kuna baadhi ya styles hazina application yeyote ile zaidi ya kuonyeshea tu kwenye show off kama spin jump na baadhi ya kicking stuff.
Martial arts ni pana, ila kwa ushauri wangu mimi angalia kwanza both schools around you na uangalie wanafundisha nini... nna marafiki wengi tu walio practice Tai kwon do, binafsi nawaona wako vizuri tu japokuwa kuna baadhi ya styles nyingi tu nnazo wapoteza, nakumbuka binafsi nilijifunza Shotokan pamoja na combat nikaona niache kulingana na sababu zangu za msingi... Baadae nilipotulia nikampata jamaa tukaanza kupractice Wing Chu pamoja na JKD (jet kune do) phylosophy ambayo still naji advance na nipo level nzuri tu.
Naomba nikazie hapo kwenye JET KUNE DO
... Hii sikushauli kwamba ujifunze yenyewe tu independent, ata aliye discover "Bruce Lee" alijifunza Wing Chun, sasa unapotaka kujifunza tu no way to way "JKD" tu alone, itakupa tabu kidogo.
Nionavyo mimi ukipata sehemu wanapofundisha Muay Thai, nenda ka practice coz utajifunza ku attack na kumdestroy adui from the head to toe tena within a short time,
na pia kuna San shou for street fighting.
ila tatizo kwa TZ bado mwamko ni mdogo.