Wapi hapa?

Wapi hapa?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,091
Reaction score
136,648
Exit_ramps.jpg
 
Nadhani ni Atlanta kwenye junction ya I-20 na I-85; ukifanya makosa katika kuchunga lane yako inakuwa imekukula. Hata hivyo sina uhakika sana kwa sababu huwa ninapita tu.
 
hapo ni nanihiii....,wapi vile....??!!

aagh! pamenipita kidogo. ila napafahamu.
 
Nadhani ni Atlanta kwenye junction ya I-20 na I-85; ukifanya makosa katika kuchunga lane yako inakuwa imekukula. Hata hivyo sina uhakika sana kwa sababu huwa ninapita tu.

UnapoPAzungumzia wewe ni hapo chini kwenye junction ya I-85 na I-285. Hii spaghetti junction wakati wa snow storm mwaka jana ilikuwa tupu kabisa. Hakuna aliyethubutu kupita hapo.

abc_2_HWY_system_WS_090416_ssh.jpg
 
Ukikaribia Usagara pale junction ya Geita utaikuta hii kitu inajadiliwa na akina TaniLoads.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom