Wapi alipo Deo Kisandu?

Aiseee nimepitia hii post yake Jf nimebaki kucheka tu..


View Edit History
Deogratius Nalimi Kisandu
Rais MAGUFULI sio MSUKUMA bali ni MHUTU.
Alitumia jina la kisukuma ili aje kuwa Rais na hakutakiwa kuwa rais ila mwaka 2012 baada ya Deogratius Kisandu kutangaza kugombea Urais akiwa mkoani Tanga, ndipo TISS waliaamua kumuweka Magufuli kwa nguvu ili kumpoteza Bw. Kisandu. IPo siku nitamuinua John Magufuli Orijino.Kesho tatiwa nguvuni na Majeshi hasa Polisi na kufungwa au kutupwa Mahakamani kwa kusema Ukweli. Mkiona sipatikani mjue tayari.
 
hahahha ninahisi washamficha hata wanaesema yuko fb utakuta sie yeye. Maana JF ukishaianza huiachi kamwe Lazima angekuja tuu humu
 
Mumeshatekana au umejiteka... alafu unatuuliza sisi....

Mchek gigy money hakuna maelezo ya kina.

Sent from "La -Vista"
 
Ahahahahh mkubwa Deogratius Kisandu na mdogo wake HR 666 hivyo vichwa hatari hasa kipindi kile mwezi ndio unaandama
 
Kauli huumba!,
P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…