NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
- Thread starter
- #21
yule kaka ako yuko wapi????
Sis how are you doin this Monday
Sis how are you doin this Monday
hehehehheee nachekea uchungu michelle... sie alituita maua ya nini vile??inshallah utampata wako wa milele ambae hatakukimbia my dear..mi inshallah labda nisimuone ntampa maaaaaneno ajute kuzaliwa jf.....
keshafika haondoki tena dr,,,, na wala siondoki kwake.....mi sijakurusha roho si umeniuliza jamani....au wataka nifundisha kujibu uongo???
Kaka ninaye kweli maana hata alipoenda sijui hakuna kuaga wala nini niliamka asubuhi nakuta mlango wazi hadi sasa hivi sijui his whereabouts nilienda kumuangalia kwa Michelle na kwenyewe hayupo sasa sijui yuko wapi najaribu pia kusikiliza matangazo ya vifo labda watataja jina lake lakini wapiyule kaka ako yuko wapi????
maua ya barabarani.....mimi naanza kufunga kuombea hilo la kupata wangu wa milele kesho.....:wink2:
Kaka ninaye kweli maana hata alipoenda sijui hakuna kuaga wala nini niliamka asubuhi nakuta mlango wazi hadi sasa hivi sijui his whereabouts nilienda kumuangalia kwa Michelle na kwenyewe hayupo sasa sijui yuko wapi najaribu pia kusikiliza matangazo ya vifo labda watataja jina lake lakini wapi
Kaka ninaye kweli maana hata alipoenda sijui hakuna kuaga wala nini niliamka asubuhi nakuta mlango wazi hadi sasa hivi sijui his whereabouts nilienda kumuangalia kwa Michelle na kwenyewe hayupo sasa sijui yuko wapi najaribu pia kusikiliza matangazo ya vifo labda watataja jina lake lakini wapi
michelle nikwambie kitu lakini usikasirike utani tuu tangu nilipokuona nikasema hebu nimchokoze kidogo huyu mtu.....then kila ukinijibu mie nawa nacheka kupita maelezo....sijui kwa nini?? lakini funga usianze kesho hebu jaribu kusubiri pengine akatokea....na yeye hatakuwa ua la barabarani atakuwa ua la msituni...hehehheh
karibu sana NILHAM tulikumiss sana mpendwa
ni furaha yangu ukicheka ni huzuni yangu ukihuzunika....nimefurahi kusikia unafurahi nami hukujibu ili ufurahi tuuuuu....hatuko Jf kuchukizana au sio my dear??
matangazo nasikiliza sijasikia hadi leo....hivi Hashy anajisikiaje kuniacha kwenye mazingira haya? sielewi yuko hai au kafa? kazi kweli kweli.
yap my dear... i really like u...
hajakufa bwana yupo inshallah endelea kusubiri atatokea....okay??
umejuaje hajafa? kuna unalolijua....huniambii....nikirudi naomba uniambie....!!!
Nimeenda kote uwanja wa fisi, tandale, manzese midizini ndizo sehemu anazopenda kutembelea lakini wapi sijamuona, itabidi tumfunge ile system ya CAR TRACK siku akirudimatangazo nasikiliza sijasikia hadi leo....hivi Hashy anajisikiaje kuniacha kwenye mazingira haya? sielewi yuko hai au kafa? kazi kweli kweli.
true love never die
Haya sema ulikuwa umefichwa wapi na nani???yap mallaba true love nver die ....
Haya sema ulikuwa umefichwa wapi na nani???