masharubu
Senior Member
- May 5, 2010
- 155
- 10
Jana baada ya mechi ya simba na azam nilishuhudia baadhi ya wapenzi wa simba wakimtupia maneno ya kashifa goli kipa namba moja juma k. Juma kwamba amecheza chini ya kiwango ama ameuza mechi.
Kitendo hicho hakikua cha kiungwana japo kaseja alikua muungwana kwa kukubali kila aina ya neno baya alilopewa.
Kiubinaadamu mwili wa binaadamu yeyote unahitaji kupata mapumziko, hivyo nashauri benchi la ufundi limpumzishe kaseja na acheze baadhi ya mechi kwani ametumika sana toka challenge hadi mto nile.
Pole sana kaseja na wapenzi tuwe na subira kwa kipa wetu ameshatufanyia mengi mazuri
Kitendo hicho hakikua cha kiungwana japo kaseja alikua muungwana kwa kukubali kila aina ya neno baya alilopewa.
Kiubinaadamu mwili wa binaadamu yeyote unahitaji kupata mapumziko, hivyo nashauri benchi la ufundi limpumzishe kaseja na acheze baadhi ya mechi kwani ametumika sana toka challenge hadi mto nile.
Pole sana kaseja na wapenzi tuwe na subira kwa kipa wetu ameshatufanyia mengi mazuri