Baada ya kuona The Rock anapiga pushups 150 kwa siku nilianza...heheh nilipiga mia kwa siku kwa wiki nzima mpaka sasa katikati ya kifua nikiinama panalia kacha kama mfupa unajinyoosha ila hamna maumivu.
Kuna dawa au msaada wowote au ni kawaida kwenye mazoezi