20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
- Thread starter
- #21
Sijamuona John Bravo...
Jamaa alikuwa na nguvu lakini kwa wanawake hana kitu.! Akimuona manzi utasika "ooohh Mama i think im in love with you"
Jamaa alikuwa kama funguo juuu mkubwa chini mdogo,
Anapataga mazari na madem but anabolonga mwishon...
Mtoto wa mama kinoma yuleee