Wapendwa Wakristo sasa tuko Juma la Ngapi kulingana na Daniel 9:23-27? Je, Unyakuo wa Kanisa bado?!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,116
Nawasalimu nyote katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo

Katika Kitabu cha Daniel mlango ule wa 9 kuanzia mstari wa 23-27 tumepewa majuma 70 ambapo 7 ni Yerusalemu kujengwa upya na majuma mengine 62 ambapo Masihi wa Mungu atauawa katika Juma la 62

Hesabu za Uyahudi ya Kale Juma 1 ni miaka 7

Je, tunaishi Kwenye Juma la Ngapi sasa?

Kanisa limeshanyakuliwa au bado?

Haya yanayoendelea sasa duniani yanafikirisha sana

Natanguliza shukrani kwa majibu yenu!
 
Nawasalimu nyote katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo

Katika Kitabu cha Daniel mlango ule wa 9 kuanzia mstari wa 23-27 tumepewa majuma 70 ambapo 7 ni Yerusalemu kujengwa upya na majuma mengine 62 ambapo Masihi wa Mungu atauawa katika Juma la 62

Hesabu za Uyahudi ya Kale Juma 1 ni miaka 7

Je, tunaishi Kwenye Juma la Ngapi sasa?

Kanisa limeshanyakuliwa au bado?

Haya yanayoendelea sasa duniani yanafikirisha sana

Natanguliza shukrani kwa majibu yenu!
Wasabato si walipiga hii Hesabu ikaishia mwaka 1843 mpaka 1844 february to march kwani walibadilisha lini kina william miller ,James white na Ellen G. white wakishirikiana na Smith
 
Nawasalimu nyote katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo

Katika Kitabu cha Daniel mlango ule wa 9 kuanzia mstari wa 23-27 tumepewa majuma 70 ambapo 7 ni Yerusalemu kujengwa upya na majuma mengine 62 ambapo Masihi wa Mungu atauawa katika Juma la 62

Hesabu za Uyahudi ya Kale Juma 1 ni miaka 7

Je, tunaishi Kwenye Juma la Ngapi sasa?

Kanisa limeshanyakuliwa au bado?

Haya yanayoendelea sasa duniani yanafikirisha sana

Natanguliza shukrani kwa majibu yenu!

Kutoka kwenye hiyo theory yako, kama unajua juma la kwanza ni majira yapi basi hadi sasa utajua upo juma la ngapi...

Hata kipindi Masihi akiwa ulimwenguni bado alikuwa akisema mwisho u karibu na hiyo ni zaidi ya miaka 2000 iliyopita (makadirio)
 
Nawasalimu nyote katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo

Katika Kitabu cha Daniel mlango ule wa 9 kuanzia mstari wa 23-27 tumepewa majuma 70 ambapo 7 ni Yerusalemu kujengwa upya na majuma mengine 62 ambapo Masihi wa Mungu atauawa katika Juma la 62

Hesabu za Uyahudi ya Kale Juma 1 ni miaka 7

Je, tunaishi Kwenye Juma la Ngapi sasa?

Kanisa limeshanyakuliwa au bado?

Haya yanayoendelea sasa duniani yanafikirisha sana

Natanguliza shukrani kwa majibu yenu!
Ili andiko lina Siri kubwa sana Sema tu ni Imani za watu Lakini lima vitu vikubwa snaa hasa ukienda na la Nyuma yake pia..
Unaruhusu nikuchambulie?
 
Nawasalimu nyote katika Jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo

Katika Kitabu cha Daniel mlango ule wa 9 kuanzia mstari wa 23-27 tumepewa majuma 70 ambapo 7 ni Yerusalemu kujengwa upya na majuma mengine 62 ambapo Masihi wa Mungu atauawa katika Juma la 62

Hesabu za Uyahudi ya Kale Juma 1 ni miaka 7

Je, tunaishi Kwenye Juma la Ngapi sasa?

Kanisa limeshanyakuliwa au bado?

Haya yanayoendelea sasa duniani yanafikirisha sana

Natanguliza shukrani kwa majibu yenu!
Masihi si ndo Yesu na alikatiliwa mbali yaani kuuwawa au hajauwawa bado
 
Chambua bwashee nipate kuelimika
Ili twende Sawa Acha tuweke Mlinganyo sawa ili watu wote tuelewe Fungu hilo limetoka wapi...

Kama ulivyosema ni Daniel 9:24-27...
Screenshot_20231119-132856.png


Lets start:-
kwanza kabisa kwa maandiko hapo Juu yamesema iliyote yatimia (Daniel 9:24) Inatakiwa majuma Sabini Kwa wana wa israel..
Sasa Majuma Sabini tuyabadili kuwa siku ili iwe Rahisi kwetu kuyachambua...
70 weeks x 7 days =490 days
kwa hiyo ili muda wote wa unabii huu utimie ni Siku 490...
MATUKIO YAKE:-

matukio kama yanavyooneshwa kwenye (Daniel 9:25)
Ndo yanatupa mwangaza hasa lini tuanza kuhesabu Muda huo...

Kwanza Atakapokuja Masihi mkuu..Ni baada ya Majuma 7 Ya Tangazo la kujengwa Yerusalem mpya na Pili kwenye ujenzi wa Yerusalem ambayo tumeambiwa ni Majuma 62..
Lets how Maths bring us...before we interprets ...

Kwahyo mpaka Masihi anazaliwa ni majuma 62+7 jumlisha Juma 1 la Kufanya kazi yake (Daniel.9: 27)

7+62= 69 weeks
Change it in days

So its 483 days

Lakini baada ya majuma 62 atakatiliwa mbali (Kuuwawa)

Na kwa hilo juma moja liliobaki anaondoa ibada ya sadaka na dhabihu na Watu wataomba Direct kwa Mungu..

For 1 week ..

7 days

Then hadi yote yatimie its almost 490 Days ( 483 +7)

Now The Interoretation only Of the Verses na acordung to Christian theology
Kwanza kabisa tuna siku 490 days hadi yote yatimie..
Japo tuna siku 483 hadi kufa kwa Masihi..

Lakini katika maswala ya kiunabii tukiambiwa siku huwa ni Miaka..Soma Hesabu 14:34 na Ezekiel 4:6

So hiyo yote ni miaka nayo ni miaka 490..


Ili tupate hasa mambo haya yanaanza lini tunatakiwa tuipate starting point yetu ni lini hasa..

Starting point according to Daniel 9:26..
Ni amri ya kujengwa kwa Yerusalem upya..
Kihistoria Amri hiyo ilitolewa na Artaxerxes I
mwaka 457 BC so hapo ndo starting point...

sasa Unaweza ukahesabu miaka 483 hiyo ndo miaka ya kufa Masihi na Miaka 490 mambo yote yalipoisha na kuanza agano jipya ...

Sasa Twende pole pole miaka 483 baada ya Tangazo la ujenzi wa Yerusalem ni Mwaka 26 AD (Kwa mujibu Wa Daniel huu ndo mwaka wa Yesu kufariki)

SASA TWENDE NA DANIEL
kwa mujibu wake Miaka 490 Hadi yote yatimie na pia sadaka ya kuteketezwa na Upya wa agano inaishia kwenye mwaka 33 AD

MIaka masihi anakatikiwa mbali anauliwa 26 AD
then logically kama atauliwa mwaka 26 AD that means atauliwa akiwa na miaka 33 then when did he born according to Daniel ni 7 BC
na Alibatizwa mwaka 23 AD

Japo inapungua mwaka mmoja kutokana na Wanahistoria wa theology wanaosema kazaliwa 4-6 BC

KWA HIYO KWA MUJIBU WA THEOLOGY UNABII HUU UMESHATIMIA
Ni hayo Tu labda kama kuna swali
 
Back
Top Bottom