wapendwa mnisamehe bure..


Miye kwa maoni yangu sidhani kama ulistahili kuomba samahani kwa hili hasa ukitilia maanani ulishaandika katika ile thread kuhusu kilichojiri. Hongera kwa kuonyesha ustaarabu wako na uungwana.

 
hahaah lol
mie nahitaji maombi ya kila kitu my dear..
asante kwa kunishtua kuhusu ...................:sick::sick:
hhahahhaha lol

Nilishakuahidi nitakuwa na ww jicho langu likikutizama...........mlimani:car:
 
hamna noma wala nini kwa kupata birthday wishes in advance...
 


The Following 5 Users Say Thank You to afrodenzi For This Useful Post:

Felixonfellix (Today), Kaizer (Today), Maxence Melo (Today), NILHAM RASHED (Today), WiseLady (Today)


hapo najiuliza tu.......huyu mkulu ni nadra sana kuonekana mitaa hii...kumbe huwa anachungulia chungulia.......:clap2::coffee:
 

nashukuru sana my dear ...
napia namshukuru huyo boss wetu kwa kujitokeza..
 
Jamani msameheni bosi wetu bure.Hamjui kuwa dokta kasema asitumie sana kompyuta?kama nakosea nipo tayari kukosolewa.

hahahah lol
boss wetu bila kutumia sana computer ataweza ku survive kweli mpendwa??
 
Usijali mpendwa maana isingekuwa Ki Mey nadhani ile threat ingefika kama page 20 mpaka wakati unaiona The Finest akaua kabisa kuleta link ya thread uliyopongezwa kabla hehehehe. Sorry kwa kuchelewa ku comment si unajua nipo busy na Nilham na bado hakijaeleweka?
 

hahahhaahah lol
nway nashukuru kwa wewe ku pokea msamaha wangu ..
sasa ntaacha ipotelee mbali lol

mie nta jaribu nisiingilie sana ya weye na Nilham...lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…