afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
- Thread starter
- #21
yaani nikusamehe hivi hivi bila fimbo??!!! Aaah hapana, utarudia wewe . . . lala chini, nasema LALAAAA
CPU
my dear friend..
wewe na hizi avatar zako..
kama na kumbuka vizuri
- ninja
- akaja Mr.Ben na msichana kamrukia usoni
- ikaja miguu fulani ya kutisha
- sasa naona unampiga kila mtu BAN