Wapenda haki wote wawe upande wa N.Korea

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
13,729
14,159
N. Korea inakataa vikwazo visivyoisha inavyowekewa na mabeberu kutokana na kukataa masharti yasiyozingatia usawa na haki kwa mataifa yote.

N. Korea haina tofauti na Libya, Syria, Iraq, Iran, Sudan, Zimbabwe na sasa Urusi ambazo zilikataa kutii amri za mguu pande mguu sawa za mabeberu. Vikwazo hivi ambavyo mara zote vinalenga kulinda maslahi ya nchi za kibeberu huwa vinaumiza uchumi na ustawi wa mataifa hayo.

Mabeberu wanalazimisha mataifa yote duniani yaendeshe siasa ambazo zinaruhisu mabeberu kupora mali zao kwa njia hii au ile.

Korea haina cha kupoteza inaweza kwenye mzozo na Marekani inaweza kufanya kitu ambacho dunia itakijutia milele.

Ili kuepusha ukorofi wa N. Korea ni kuiondolea vikwazo vyooote vya kiuchumi , silaha na kidiplomasia iliyowekewa na mabeberu na washirika wao. Kila taifa lina haki ya kujilinda dhidi ya taofa lingine.
 
N. Korea inakataa vikwazo visivyoisha inavyowekewa na mabeberu kutokana na kukataa masharti yasiyozingatia usawa na haki kwa mataifa yote. N. Korea haina tofauti na Libya, Syria, Iraq, Iran, Sudan, Zimbabwe na sasa Urusi ambazo zilikataa kutii amri za mguu pande mguu sawa za mabeberu. Vikwazo hivi ambavyo mara zote vinalenga kulinda maslahi ya nchi za kibeberu huwa vinaumiza uchumi na ustawi wa mataifa hayo.
Mabeberu wanalazimisha mataifa yote duniani yaendeshe siasa ambazo zinaruhisu mabeberu kupora mali zao kwa njia hii au ile.
Korea haina cha kupoteza inaweza kwenye mzozo na Marekani inaweza kufanya kitu ambacho dunia itakijutia milele.
Ili kuepusha ukorofi wa N. Korea ni kuiondolea vikwazo vyooote vya kiuchumi , silaha na kidiplomasia iliyowekewa na mabeberu na washirika wao. Kila taifa lina haki ya kujilinda dhidi ya taofa lingine.
Ni wewe tu na post yako, mm nimepitia kwa bahati mbaya.Huyu mapanki ni wa kufuta usoni mwa dunia.Fuatilia matendo yake.Binadamu uliyeumbwa muwa bindamu huwezi shabikia kenge huyu anayechinja hata ndg zake.
 
Kila mtu sasa amekuwa mchambuzi wa habari za kimataifa. Na wanajua kiundani kuhusu USA na NORTH KOREA. Wabongo kwa matukio hamjambo.
 
Ni wewe tu na post yako, mm nimepitia kwa bahati mbaya.Huyu mapanki ni wa kufuta usoni mwa dunia.Fuatilia matendo yake.Binadamu uliyeumbwa muwa bindamu huwezi shabikia kenge huyu anayechinja hata ndg zake.
anachinja vibaraka na adui wa haki kwake na kwataifa
 
Kila mtu sasa amekuwa mchambuzi wa habari za kimataifa. Na wanajua kiundani kuhusu USA na NORTH KOREA. Wabongo kwa matukio hamjambo.
Marekani na N. Korea ni nchi zilizoko mbali sana, hazipakani, kwanini Marekani ikerwe zaidi na N.Korea!!???(**
 
Back
Top Bottom