Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,793
Sheikh umeshasema "utani" its not true story.huna adabu!! sijapendezwa na huu utani wako plz usirejee
Kwanini hujapendezwa? Hujui maana ya utani?
Sheikh umeshasema "utani" its not true story.huna adabu!! sijapendezwa na huu utani wako plz usirejee
Huyu dereva ni kipofu!Sasa Ww dereva unayeendesha mto hukuuona ,iweje abiria uliyempakia nyuma aone MTO
Ina maana ulikuwa unaendesha kinyume nyume au

alienndesha akiangalia side mirror....si unajua mgongoni kuna zigo lina ushungiSasa Ww dereva unayeendesha mto hukuuona ,iweje abiria uliyempakia nyuma aone MTO
Ina maana ulikuwa unaendesha kinyume nyume au
Umejibu vema bro!alienndesha akiangalia side mirror....si unajua mgongoni kuna zigo lina ushungi
Yaani nyuzi nyingine uongo mkubwa kuliko ukweli, dereva usiuone mto, afadhali angesema dimbwi!!Sasa Ww dereva unayeendesha mto hukuuona ,iweje abiria uliyempakia nyuma aone MTO
Ina maana ulikuwa unaendesha kinyume nyume au
Apo sasa mkuu baadala ya kura wanasema kulaAnaesema Lamadhani na anaesema Ramadhani yupi yuko sahihi