Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,551
- 28,511
Hawa jamaa derva na utingo wake, wamechoka kufa mtu.
Hebu wape ushauri wa bure!
Dereva na utingo wako endeleeni kuupiga mwingi kwani maisha yenyewe magumu sana.View attachment 3287779
Hawa jamaa derva na utingo wake, wamechoka kufa mtu.
Hebu wape ushauri wa bure!
Unajua hiyo picha ni ya mwaka gani?Duh! Hizi gari zilikuwa nyingi sana miaka ya 80 na 90! Kumbe bado zipo mpaka sasa.
Wakati mwingine upunguze ujuaji! Na pia uwe unatumia common sense. Namba za usajili zinasoma T 6.. ALN! Maana yake hiyo picha siyo ya zamani.Unajua hiyo picha ni ya mwaka gani?