storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,831
Watu wa makabila mbali mbali walioko mijini ama mbali na nyumbani (sehemu ya asili yao) mara nyingi wakitaka kusema wanarudi kwao watataja jina husika la mji ama sehem anayotoka.
Mfano kwachaga atasema naenda moshi. Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa Wapare. Mara nyingi sana utaskia naenda Upareni. Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehemu zao km Usangi, Ugweno, Chome, Same nk.
Ni mazoea ama kuna sababu maalum?
Mfano kwachaga atasema naenda moshi. Muhaya atasema naenda bukoba, mngoni atasema ashuka zake songea nk.
Ila inanishangaza kwa Wapare. Mara nyingi sana utaskia naenda Upareni. Au atamuuliza mtu "hivi lini unapandisha upareni" na wakati wana sehemu zao km Usangi, Ugweno, Chome, Same nk.
Ni mazoea ama kuna sababu maalum?