Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Aliweka kodi ya kichwa kwa kila mwanaume wa miaka 18 mpaka 45, ukilipa unapewa cheti unatembea nacho. Usipolipa unakula bakora hadharaniHitler alikuwa kichwa sana
Aliweka kodi ya kichwa kwa kila mwanaume wa miaka 18 mpaka 45, ukilipa unapewa cheti unatembea nacho. Usipolipa unakula bakora hadharaniHitler alikuwa kichwa sana
SIO UJINGA ILA NIMEONGEA KWELI, Hauna point (ushahidi wa kueleza) kuwa huyo ni mufti wa Palestine, hizo picha na website hauwezi kuthibitisha, ukiambiwa changanya na zako, Ndio Yale yaliotokea Iraq, marekani anadai kuna silaha za NYUKLIA anaenda kuuwaa mamilioni ya watu bila ya ushahidi, IZO CHUKI ZENU DHIDI YA UISLAMU ZIMESHAJULUKANA TOKEA ENZI NA EZNI, kwani izo website unazofungua na kusoma zote zinamilikiwa na NANI??? Mutazidi kuendeleza skendo chafu na kufanya mauwaji but ukweli utabaki pale paleAcha ujinga anza kuwa mtafiti kabla ya kulaumu au kupanua mdomo wako
Never-before-seen photos of Palestinian mufti with Hitler ties visiting Nazi Germany
We ndo unaleta uislamu! Kwani kusema wapalestina ni kusema waislamu. Acha kuleta hisia zako lete hoja kujibu hoja.UNAPOSEMA ISRAEL IPIGE PALESTINA NI SAWA NA KUSEMA KENYA IPIGE UGANDA. LENGO LAKO LILIKUWAKUWA NI KUENEZA CHUKI KUWA WAISLAM NDIO WAPIGWE. LAKINI USICHOKIJUA NI KUWA HATA WAKRISTO WENYEWE WANAPIGWA NA WAYAHUDI .WAISLAM NA WAKRISTO WOTE HAWARUHUSIWI KUINGIA JERUSALEM.
Wayahudi watandale wanashida sana AISEEEEE, tatizo mtoa maada anasikiliza propaganda chafuUNAPOSEMA ISRAEL IPIGE PALESTINA NI SAWA NA KUSEMA KENYA IPIGE UGANDA. LENGO LAKO LILIKUWAKUWA NI KUENEZA CHUKI KUWA WAISLAM NDIO WAPIGWE. LAKINI USICHOKIJUA NI KUWA HATA WAKRISTO WENYEWE WANAPIGWA NA WAYAHUDI .WAISLAM NA WAKRISTO WOTE HAWARUHUSIWI KUINGIA JERUSALEM.
Ungejua mimi ni Mwislamu usingepoteza muda wa kunituhumu. Nimchukie mwislamu mwenzangu nimpende nani? Ila ukweli lazima usemweSIO UJINGA ILA NIMEONGEA KWELI, Hauna point (ushahidi wa kueleza) kuwa huyo ni mufti wa Palestine, hizo picha na website hauwezi kuthibitisha, ukiambiwa changanya na zako, Ndio Yale yaliotokea Iraq, marekani anadai kuna silaha za NYUKLIA anaenda kuuwaa mamilioni ya watu bila ya ushahidi, IZO CHUKI ZENU DHIDI YA UISLAMU ZIMESHAJULUKANA TOKEA ENZI NA EZNI, kwani izo website unazofungua na kusoma zote zinamilikiwa na NANI??? Mutazidi kuendeleza skendo chafu na kufanya mauwaji but ukweli utabaki pale pale
KWAHIYO HUYO NI MUFT WA ORTHODOX?We ndo unaleta uislamu! Kwani kusema wapalestina ni kusema waislamu. Acha kuleta hisia zako lete hoja kujibu hoja.
Hata Tz wakati wa mwalimu watu walikamatwa kwa kutolipa kodi ya kichwa!.Aliweka kodi ya kichwa kwa kila mwanaume wa miaka 18 mpaka 45, ukilipa unapewa cheti unatembea nacho. Usipolipa unakula bakora hadharani
Unahisi wanatambua mchango wa mapenzi yako juu yaoWe ndo unaleta uislamu! Kwani kusema wapalestina ni kusema waislamu. Acha kuleta hisia zako lete hoja kujibu hoja.
Pole sana vijana wa maagano hebu nambie wewe unaagano ganiMkuu Jackal, thanks a lot for this important piece of historical information. Connect dots; Wapalestina marafiki wa Hitler; maadui wa Israel. Iran marafiki wa wapalestina; maadui wa Israel. Ujerumani taifa la Ulaya lenye uhusiano mzuri sana na Iran; mjerumani hasemi chochote kwa Iran. Kumbe ni maagano ya tangu enzi.
We unafikiri hao wapelestina wanajua kua unawatetea uku! Acheni kujipendekeza, Israel ni Taifa kama mataifa mengine ina haki ya kujilinda.Unahisi wanatambua mchango wa mapenzi yako juu yao
Wala mi siwatetei wapalestina na siwapingi waisrael lakini huwa nashangaa watu mnaotaka baraka kwa kuharalisha unyama wanaotendewa watu wengineWe unafikiri hao wapelestina wanajua kua unawatetea uku! Acheni kujipendekeza, Israel ni Taifa kama mataifa mengine ina haki ya kujilinda.
Na wapelestina wakileta chokochoko zao wache wapigwe tu hakuna namna.
Sawa muyahudi wa kigomaWe unafikiri hao wapelestina wanajua kua unawatetea uku! Acheni kujipendekeza, Israel ni Taifa kama mataifa mengine ina haki ya kujilinda.
Na wapelestina wakileta chokochoko zao wache wapigwe tu hakuna namna.
We unafikiri hao wapelestina wanajua kua unawatetea uku! Acheni kujipendekeza, Israel ni Taifa kama mataifa mengine ina haki ya kujilinda.
Na wapelestina wakileta chokochoko zao wache wapigwe tu hakuna namna.
Wapalestina hawajawahi watakia mema wayahudi wala Israel acha wadundwe tu!
View attachment 765711 View attachment 765714 View attachment 765715 View attachment 765716
Palestinian Mufti of Jerusalem, Amin al Husseini, warmly welcomed by Hitler and other Nazi officers in 1941.
This kind of anti-Semitism among Palestinian leaders has not changed.
Mkuu dudus umeendelea kunifungua macho.Uko vizuri,umeendelea kuunganisha dots!Mkuu Jackal, thanks a lot for this important piece of historical information. Connect dots; Wapalestina marafiki wa Hitler; maadui wa Israel. Iran marafiki wa wapalestina; maadui wa Israel. Ujerumani taifa la Ulaya lenye uhusiano mzuri sana na Iran; mjerumani hasemi chochote kwa Iran. Kumbe ni maagano ya tangu enzi.