Tajiri wa Roho
Member
- May 25, 2016
- 32
- 12
Du hiyo hatari sana wanapiga kidebe wakati kazi yao kuosha tu kweli Mungu anawaona
Du hiyo hatari sana wanapiga kidebe wakati kazi yao kuosha tu kweli Mungu anawaona
Ni bora waoshe gari na wewe ukiwa hapo hapo cz hii inatokea pale tunapojiona tuko bize na kumuachia gari muoshaji kama una haraka kwanini usije siku nyingine inabidi tukubaliane na hayo matokeo
Tabia ya kupeleka gari lioshwe wewe unaondoka unarud after 2/3 hrs nayo inachochea hii mambo.
Kuna watu wanaosha gari kila siku....3000*30*12=1,080,000/- kwa mwaka.Acheni uvivu kuosha magari yenu majumbani kwenu mnashindwa nini. Nyakati mbovu hivi me naosha gari yangu nyumbani tangia upepo ubadilike na nimegundua linakuwa safi kweli kweli ndani na nje [emoji13][emoji13]
ahahaaa mkuu hii kaliWengine kama hana kazi za kuosha, anawasha gari anakula ubaridi wa Japan mpaka basi. Wakati muhusika mwenye gari kwenye foleni ulikuwa unazima zima na mbaya zaidi ulikuwa huwashi A/c
njoo nikuosheeKuna watu wanaosha gari kila siku....3000*30*12=1,080,000/- kwa mwaka.
Gari yangu haioshwi. Gari yangu ni kiboko ya wanaopenda kuegamia magari ya watu, ukiegamia unajikuta umeiosha!njoo nikuoshee
Tumebaki mimi na wewe tu.Jamani mbona kila mtu ana gari humu
ahahaaa lift zipo lakiniTumebaki mimi na wewe tu.
Au mwenzangu wewe unalo?
Na usawa huu kazi ipo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko chobingo unaisulubu amri ya sita na mchepukiwa lazima wana wafanye yao
Umelifukua mzeeHawa jamaa hawafai kabisa..
Kuosha toyo ni tofauti na gari bestAcheni uvivu kuosha magari yenu majumbani kwenu mnashindwa nini. Nyakati mbovu hivi me naosha gari yangu nyumbani tangia upepo ubadilike na nimegundua linakuwa safi kweli kweli ndani na nje [emoji13][emoji13]