Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 352
- 547
WAONGOZA UTALII KULIPA KIINGILIO MAENEO YAO YA KAZI SIO UUNGWANA
Hawa Vijana walio na mapenzi mema na maliasili nanutalii 2akasomea na kuwa professional katika swala hili, kama kazi yao, wanaumizwa na kitendo cha kulipia Kiingilio kwenye maneo ya Hifadhi.
Ijapokuwa wana License ya utambuzi kuwa wao ni Waongoza utalii, na bado kulipa Kiingilio katika maeneo yao ya kazi haijakaa sawa.
Walimu na madaktari na wafanyakazi wengine Hawalipiswi pesa Kuingia kwenye maeneo yao ya kazi hivyo kwanini kwa hawa vijana wetu wa Utalii walipishwe ikiwa lile ni eneo lao la kazi..
Ifike pahala tuweke mazingira rafiki kwa wafanya kazi wetu ili kudumisha kujituma na watu kupenda fani zao.
Tanapa na Waziri wa Maliasili na Utalii Tunaomba muwaangalie Vijana Wetu hawa.
Hawa Vijana walio na mapenzi mema na maliasili nanutalii 2akasomea na kuwa professional katika swala hili, kama kazi yao, wanaumizwa na kitendo cha kulipia Kiingilio kwenye maneo ya Hifadhi.
Ijapokuwa wana License ya utambuzi kuwa wao ni Waongoza utalii, na bado kulipa Kiingilio katika maeneo yao ya kazi haijakaa sawa.
Walimu na madaktari na wafanyakazi wengine Hawalipiswi pesa Kuingia kwenye maeneo yao ya kazi hivyo kwanini kwa hawa vijana wetu wa Utalii walipishwe ikiwa lile ni eneo lao la kazi..
Ifike pahala tuweke mazingira rafiki kwa wafanya kazi wetu ili kudumisha kujituma na watu kupenda fani zao.
Tanapa na Waziri wa Maliasili na Utalii Tunaomba muwaangalie Vijana Wetu hawa.