Waomba siku nzima, kufufua maiti

The only mistake they did is to put them in the caskets, the homes of dead person!...How possible could they come out from those closed "doors"???. Real joking with GOD this guys.....
Hapo hakuna cha kuweka mahiti kwenye caskets wala nini, hao watu washakufa, hatima yao imetimu haki yao iliyobakia ni kuzikwa kama binadamu wengine... waache kuzichezea mahiti za binadamu wenzao.
 
Hapo hakuna cha kuweka mahiti kwenye caskets wala nini, hao watu washakufa, hatima yao imetimu haki yao iliyobakia ni kuzikwa kama binadamu wengine... waache kuzichezea mahiti za binadamu wenzao.
Ndugu.... mahiti ni nini?
 
Kufufuka inawezekana kabisa. Yesu ndiye ufufuo na uzima.

Wakati anajiandaa kumfufua Lazaro, Mariam na Martha walifikiri anazungumzia ufufuo siku ya kiama.

Kilichoshindikana kwa hawa jamaa ni mambo yafuatayo:

1. Yesu hakumuweka Lazaro kwenye jeneza, wala si yeye aliyemzika, sasa hawa jamaa miili wameiweka wenyewe kwenye jeneza tayari kuzikwa halafu wanaomba ufufuo, hapo hakuna Imani.

2. Yesu alikuwa anakesha milimani akiomba, mpaka kesho yake anapoingia hekaluni uweza wa Mungu unakuwepo kuponya, leo hii wachungaji wanakesha wakisengenyana, wamegeuza makanisa miradi, hapo hakuna uweza wa Mungu bali uweza wa mwekundu wa msimbazi ambao hauwezi kufufua.

3. Yesu alifufua kwa utukufu wa Mungu, hao jamaa wanataka mtu afufuke kwa uchungu binafsi walio nao, na wengine ili wajaze makanisa mapato yaongezeke, hapo Mungu hashawishiki kufufua.

4. Makanisa ya sasa yamemfukuza Roho mtakatifu na kumkaribisha roho ya fedha itawale, sasa bila Roho mtakatifu ufufuo utatokea wapi? Leo hii ukiingia makanisa yao unaendesha Hummer unapewa uzee wa Kanisa siku hiyo hiyo. Kuna ufufuo hapo?

5. Wakristo wa leo wanaogopa uchawi, shetani na kifo kuliko Mungu. Mungu anasema akiogopacho muovu ndicho kimpatacho. Leo hii ukitaka watu waache kusikiliza neno la Mungu na wakusikilize wewe masaa yote wewe danganya kuwa ulikuwa mchawi na sasa umeokoka. Wataacha mambo yote ya maana kanisani ili wasikilize ulivyokuwa mchawi mahiri Afrika nzima ukichezea mapadre, wachungaji na mashehe.

Naomba niishie hapo. Ufufuo unawezekana kabisa isipokuwa mwana wa adamu atakaporudi JE ATAIKUTA IMANI DUNIANI?

Yesu alifufuka ulimwona?
 
Hizi ni imani zilizokosa mwelekeo, kama Bible yenyewe inajikanyaga/contradictions, unategemea nini?

Please YESU kama ujafa, rudi tena duniani uwaokowe kondoo waliopotea!!
Bible yako walishaichafua haisomeki!!
Wahubiri wanashabikia na nima Shoga!!
Makanisa yanafuga mashoga!!
Hawaambiani ukweli wanaogopa sadaka zitapotea!!

Oh Yesu!!!! alayhi ssalam.
 
SURA 3. SURAT AL I'MRAN 185. Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kaamili Siku ya Kiyama. Na atakaye epushwa na Moto na akatiwa Peponi basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu.
 
Acheni ujinga nyie watu, Mungu yupi huyo anaefufua watu? huyu huyu alieruhusu seismic activity iue watu zaidi ya kilo 2 haiti? ndio aokoe wakenya wawili..WTF is wrong with Africans.. Stop taking these books literary.. That is the problem with faith.. People think that religious books are a historical account of human anthropological history and development! IF that were the case, wasingemuua Hipatia, wasinge mshuhulikia Galileo na Carpenicus.. Religious books are theological works of literature which contain some universal and philosophical truths and NOT, I repeat NOT entirely factual and unquestionable in nature.. This is the underlying principle which, surprisingly people fail to grasp. WAke the F.. UP!
 
Mimi binafsi nawapa tano waumini hawa kwani tunaambiwa ......ombeni bila kukoma.......sisi ni waombaji mfanyaji ni MUNGU......ole wetu tunaowashutumu watu walioamua kuchukua hatua ya kumuomba MUNGU aliye juu......!men of god i am on your side.......!aaaammmmmmeeennn.....!
 
WTF! Jamani.. lets agree.. This is absurd and it is not the act itself that scares me, it is the level of irrationality that people sink to when they over subscribe to religious dogma.. This is a major factor in making us poor and accepting it as destiny and we label misfortunes as the will of God.. I think this is just indicative of how animals with a slightly bigger brain can really behave in funny ways..! Ndio maana watu wengi wanateswa na kuuwawa duniani in the name of religion, and few seem to think it is wrong.. Why? BEcause religious affiliations hamper judgement and make us think in ways that are nothing short of lunacy and make humanity the epicenter of irrationality and this is why Africa will never..ever develop.
 
Nilitaka nikupotezee lakini si vizuri ukashindwa kujua sababu ya kukupotezea.

Upeo wako kwenye masuala ya Mungu ninayemzungumzia mimi ni mdogo saaaaana. Naomba tukubaliane kuwa Mungu ninayemzungumzia mimi na unayemzungumzia wewe ni tofauti. Na pia inaonekana tangu uzaliwe huajawahi kusoma Biblia.

Inaonyesha ni mjadala kati ya Christian na Scintologist.

Unachoamini wewe ni kuwa hakuna haja ya kuomba likizo kwa mwajiri wako kwa kuwa anajua una siku kadhaa za likizo.

Unachosema wewe ni kwamba kumwomba Mungu hakuna maana kwa sababu Mungu anajua tayari kila kitu, Kwa hiyo Waumini wa dini zote wanaomuomba Mwenyezi Mungu wanagugunwa kama ulivyo dai?

How old are you? Keep living my child, utakujanikumbuka tu.

Analogy kati ya Mungu na mwajiri ni nonsensical kwa sababu kuu kwamba mmoja ni Mungu na mwingine ni mwanadamu, hawalinganishiki. Mwajiri hamjui mfanyakazi wake kama Mungu anavyomjua kiumbe wake.

Kama unaweza sasa nibishie kuwa Mungu hajui kila kitu, au hana uwezo huo unaosemwa wa kimungu, uwezo usiopimika wala usio na kikomo, na pia pinga kuwa Mungu hashindwi na lolote, halafu pinga kuwa lile analotaka Mungu ndilo hutokea, na kwamba asilotaka Mungu halitokei. Uje na hoja.

Kama vipi yakikushinda, potezea tu mwana, haina noma wala nini, tuko jukwaa huru hapa.
 
SALA KUU INATUAMBIA TUSALI HIVI:-
Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe leo riziki yetu. Utusamehe makosa yetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele.] Amin.

SASA NAONA HAO JAMAA HAWATAKI MAPENZI YA MUNGU YATIMIZWE.SASA SIJUI WANAMUABUDU NANI?
tatizo si kila tukio ni mapenzi ya mungu....mengine mengi yanapangwa na ibilisi shetani mi naamini walikuwa wanaomba kwamba mungu kama haukuw3a mpango wako tunaomba uwafufue hawa tuliowapenda.............
 
hiki kizazi chenye imani haba miujiza hii kuwezekana ni kama vile ngamia kupita katika tundu la sindano,wonders shall neva end
 
tatizo si kila tukio ni mapenzi ya mungu....mengine mengi yanapangwa na ibilisi shetani mi naamini walikuwa wanaomba kwamba mungu kama haukuw3a mpango wako tunaomba uwafufue hawa tuliowapenda.............

Kwa hiyo ibilisi shetani ana uwezo wa kupanga mambo yake na bado yakafanikiwa bila ridhaa ya Mungu? Na haya yanatokea mbele ya Mungu mwenye uwezo wote?
 
Back
Top Bottom