Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,735
- 11,090
Siko tayari kutapeliwa..pesa ni ngumuSasa nawe unachunguza hili iweje?
Hauna nia ya kutoa,
Siko tayari kutapeliwa..pesa ni ngumuSasa nawe unachunguza hili iweje?
Hauna nia ya kutoa,
Nimesoma comments zote ila hii haikukibiwa na Me yeyoteOeni acheni visingizio
Usipooa basi utaolewa,
Basi pole kwa kazi ya ziada.Siko tayari kutapeliwa..pesa ni ngumu
Kuna mtu atakujibu hvi,..yanini kufuga ng'ombe wakati naweza nunua nyama na maziwa.Nimesoma comments zote ila hii haikukibiwa na Me yeyote
Ndiyo hivyo,wasipooa basi wataolewa tena uke wenza,maana wanaume wote wameshaoa.Nimesoma comments zote ila hii haikukibiwa na Me yeyote
Wanawake mnazingua yani kuna kabinti kila nikiongea nako lazima katengeneze mazingira yakuomba ela alafu huwa sikapi nishawah kukupa mara moja tu tena 15k tu na hakaachi kuomba najiulizaga kwa siku kanaomba watu wangapi mara umeme umeisha, mara kanaumwa, mara kamekwama nauli sababu zake ndo izo izo au labda ni kazi kama kazi zingine jioni mnafunga hesabu sisi hatujuiHivi ni kweli wanawake wanaomba pesa kiasi hicho kweli..??
Mbona ni kama mnalikuza hili suala kuliko ukhalisia wenyewe..??
Hivyo hapa JF kila mwanaume anaombwa pesa na wanawake tofauti tofauti kila siku...?
Hebu tuoeni bhana, Acheni visingizio..!
Kuish kwing kuona mengi,sema uache kufatilia mkuu ukiombwa pesa unayoweza kumudu tuma tu kiroho safi uendelee kula mbususu ukiwa mnoko mnoko utakosa vitamuKuna mmoja juzi kaniomba hela ya matibabu kuja kuchunguza vizuri kumbe kala dili na mfamasia ili wanipige hela
Anza kuish nako kuepusha changamoto ndg ndg na vizinga vya kipuuz km ivoWanawake mnazingua yani kuna kabinti kila nikiongea nako lazima katengeneze mazingira yakuomba ela alafu huwa sikapi nishawah kukupa mara moja tu tena 15k tu na hakaachi kuomba najiulizaga kwa siku kanaomba watu wangapi mara umeme umeisha, mara kanaumwa, mara kamekwama nauli sababu zake ndo izo izo au labda ni kazi kama kazi zingine jioni mnafunga hesabu sisi hatujui
Hivi ni kweli wanawake wanaomba pesa kiasi hicho kweli..??
Mbona ni kama mnalikuza hili suala kuliko ukhalisia wenyewe..??
Hivyo hapa JF kila mwanaume anaombwa pesa na wanawake tofauti tofauti kila siku...?
Hebu tuoeni bhana, Acheni visingizio..!
😅😅😅 Ma husband material ndio sisi hata kama hamtaki 🤣🤣🤣 sie kutoa pesw mbona jambo dogo sema nyie wasumbufu sanaWaoaji wenyewe sasa ndio akina National Anthem Extrovert
mzabzab na Mzee wa kupambania kweli!!!
Aaah!! Acha tu mpigwe vizinga walah.
Mbona wewe umejitoa aseee 🤣🤣🤣🤣Bila kumsahau National Anthem
Hili nalo mkalitizameWapo wapi hao waoaji??
Si mmekubaliana msioe?
Hata wewe hujaolewa!!Embu waambie jamani
Watuoe hivyo hivyo
Ila dada yangu wewe
Aaah!! Nyie hapana, ni kupigwa vizinga tuMa husband material ndio sisi hata kama hamtaki sie kutoa pesw mbona jambo dogo sema nyie wasumbufu sana
Kaka zao tupoNa tunapata tabu,wa hovyooooo
Mimi tayariMbona wewe umejitoa aseee 🤣🤣🤣🤣
Vipi kubwa au ndogo? Inategemea na kipato chako mkuu ,wife nampa laki hadi laki na 50 kama pocket money ya kitu chochote cha emergency kitakachotokea kila week ,kwa kufanya hivyo sijawahi ombwa hela ya nguo,lotion wala kusukwa.Kila wiki laki