Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,017
- 1,868
subiri omba-omba waje na mapovu
subiri omba-omba waje na mapovu
Wanawake wanaomba sana hela, kuna muda hua nahis labda ni wanaoishi mwanza tu kumbe ni pote pote DadekiHivi ni kweli wanawake wanaomba pesa kiasi hicho kweli..??
Mbona ni kama mnalikuza hili suala kuliko ukhalisia wenyewe..??
Hivyo hapa JF kila mwanaume anaombwa pesa na wanawake tofauti tofauti kila siku...?
Hebu tuoeni bhana, Acheni visingizio..!
Wamebaki wavulanaHakika
Kuna mmoja juzi kaniomba hela ya matibabu kuja kuchunguza vizuri kumbe kala dili na mfamasia ili wanipige hela😁Wapo wapi hao waoaji??
Si mmekubaliana msioe?
Kila wiki lakiIli usiombwe ombwe pesa ,timiza majukumu yako.
Ukijiwekea ratiba ya kumpa kila week laki unafikiri atakuwa anakuomba omba hela ya kusuka,lotion,nguo? Mbona mademu hawana matumizi makubwa? Au unachukua maslay queen wanataka showoff za instagram au wanaohojiwa na TV uchwara kwa mwaka wanalipa mil 84 kodi?
Kuna mwenye swali we mzee nahisi thread iishie hapaIli usiombwe ombwe pesa ,timiza majukumu yako.
Ukijiwekea ratiba ya kumpa kila week laki unafikiri atakuwa anakuomba omba hela ya kusuka,lotion,nguo? Mbona mademu hawana matumizi makubwa? Au unachukua maslay queen wanataka showoff za instagram au wanaohojiwa na TV uchwara kwa mwaka wanalipa mil 84 kodi?
Na hao ndio wanawatesaWamebaki wavulana
Halafu uwe mu askari ama mwalimuKila wiki laki
Bora huyo anaekubalii mdate wengine anakwambia nina bwana lets just be friend alafu anaomba helaa kama mwehuuu... sasa unajiuliza huyu fala hata geto hataki kuja alafu anataka hela kiboya tu.
Sasa nawe unachunguza hili iweje?Kuna mmoja juzi kaniomba hela ya matibabu kuja kuchunguza vizuri kumbe kala dili na mfamasia ili wanipige hela
Na tunapata tabu,wa hovyoooooNa hao ndio wanawatesa
kimwanafunzi cha chuoo... kutwa kusema hajalaaa sasa huyo bwana sijui kazi yake ni kumpelekea motoo tuu
Umri wake utakuwa chini ya 27 au nasema uongo?
Hapo unajitakia kuvurugwa mwenyewekimwanafunzi cha chuoo... kutwa kusema hajalaaa sasa huyo bwana sijui kazi yake ni kumpelekea motoo tuu
Acha porojo, unatupa mashaka na jinsia yako na uandishi wakoMbona me siombwi jamani, ladies hunipa au kwa kuwa mimi huwa muwazi toka mwanzo?
Laki ya kazi Gani?Kila wiki laki