Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Sheria za kimataifa zinatambua mchango wa mito kwenye ustawi wa bahari ili kugawa eneo la ziada la bahari (rejea presentation ya Prof Tibaijuka UN ambayo kina Jussa waliitolea povu). Sasa Zanzibar itatoa utetezi kwa mto upi ilio nao?
Tujadili bila jazba wala matusi ndugu zangu kina Barubaru et al!
Tujadili bila jazba wala matusi ndugu zangu kina Barubaru et al!