Una hasira na Chadema haijapata tokea!, mimi sio chadema lakini vilevile sitaki chama kimoja kidumu madarakani zaidi ya miaka 15. Kuhusu gongo, haina tofauti na konyagi ila ndio vile tumetekwa na uzungu.
Una hasira na Chadema haijapata tokea!, mimi sio chadema lakini vilevile sitaki chama kimoja kidumu madarakani zaidi ya miaka 15. Kuhusu gongo, haina tofauti na konyagi ila ndio vile tumetekwa na uzungu.