Wanyamwezi nani kawaroga?

Wanyamwezi nani kawaroga?

Status
Not open for further replies.

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Nani kawaroga wanyamwezi?


Blunder wanazofanya wanyamwezi ni za dhahiri mno ni kama vile wamekata tama ya maisha wanangoja wafe tu, uwezo wa kufikiri umeisha kabisa sasa wanafikiria kwa kutumia magoti ndiyo hiyo inapelekea wanafanya grave mistakes.

Grave mistake ya kwanza

Haiyamkiniki kabisa kumchagua Aden Rage kuwa eti mbunge wa Tabora mjini centre ya wanyamwezi, Aden Rage ni msomali,matatizo ya wanyamwezi anayajua mnyamwezi mwenyewe bila kuelezwa na mtu, matatizo ya wasomali anayajua msomali mwenyewe bila kuelezwa na mtu, hapa msije mkaniletea suala la ubaguzi,ni kwamba kila kazi ina qualification,Rage hana qualification za kuwa mbunge wa kabila tukufu kabisa la wanyamwezi wa utemi wa unyanyembwe, ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Mnyamwezi mmelinajisi bunge letu kwa kumpitisha huyo kuwa mbunge, ni haki bunge la sasa kuwa halina heshima shauri ya hizo njaa zenu mwanyamwezi.

Grave mistake ya pili.

Ni eti kumtambikia Lowassa kwenye kaburi la Mtemi shujaa Issike Mwanakiyungi,Lowassa hasitahili kabisa heshima kama hiyo yeye siyo rais ,wala waziri mkuu, uwaziri mkuu alijihuhuzuru tena alijihuhuzuru siyo kwa uzuri kwa kashifa nzito, leo eti mnampeleka mtu kama huyo akalinajisi kaburi la shujaa kama Yule kwa lipi alilofanya? ni uvivu wa kufikiri kabisa, kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.
 
Sikonge KIKUNGU Kaunga Mnyamwezi wa Urambo njooni huku Mgogo anawamaliza!!
A%20S%2041.gif
A%20S%2041.gif
A%20S%2041.gif
 
Last edited by a moderator:
Sikonge KIKUNGU Kaunga Mnyamwezi wa Urambo njooni huku Mgogo anawamaliza!!
A%20S%2041.gif
A%20S%2041.gif
A%20S%2041.gif

Ameandika point sana,nilijisikia vbaya mwanzo wa str lakin bdae nikaelewa na unyamwezi wangu..point hapa ni vijana kuwaeleza wazazi wetu watuachie nchi cz mpaka wamezeeka na umasikini wao kwa kuendekeza njaa,mpaka wanayakosea heshima hata makabur kwa kupeleka watu vimeo
 
Last edited by a moderator:
Blayi wa Mpwapwa umenena mkuu

hakiaka nilidhani maisha ya wanatabora ni mazuri kuliko ya wenzetu wa mikoa ya pembezoni hususani rukwa...duu! Hii kali niliwahi kutembelea tabora...
Maji shida,
gharama za maisha shida,
miundombinu shida mfano nzega kwenda tabora mjini.usanii wa rage ni zaidi ya kwa wanyamwezi.

Nikiwa huko nilijaribu kufanya maongezi na mwenyeji mmoja wa huko kwa jina la MALIMA moja ya jambo alilolisisitiza ni hili..tabora hasa hapo mjini haikupata kuwa na mzalendo aliyezaliwa na kukulia kwenye shida za ndani za wanyamwezi.habri ndo hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Tabora yetu ina hali mbaya kwa kweli,ila mwaka 2015 tutafanya mapinduzi makubwa.Dodoma na yenyewe inabebwa na hiyo CDA lakini wabunge wao kina Lusinde hawana tofauti na kina Rage tena angalau Tabora jimbo la Urambo mwaka 1995 tulifanya maamuzi magumu kwa kumuweka kando Samuel Sitta wa CCM na kumchagua Dr.Jacob Msina wa NCCR-Mageuzi ambaye naye hakuwa na jipya lolote.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nani kawaroga wanyamwezi?


Blunder wanazofanya wanyamwezi ni za dhahiri mno ni kama vile wamekata tama ya maisha wanangoja wafe tu, uwezo wa kufikiri umeisha kabisa sasa wanafikiria kwa kutumia magoti ndiyo hiyo inapelekea wanafanya grave mistakes.

Grave mistake ya kwanza

Haiyamkiniki kabisa kumchagua Aden Rage kuwa eti mbunge wa Tabora mjini centre ya wanyamwezi, Aden Rage ni msomali,matatizo ya wanyamwezi anayajua mnyamwezi mwenyewe bila kuelezwa na mtu, matatizo ya wasomali anayajua msomali mwenyewe bila kuelezwa na mtu, hapa msije mkaniletea suala la ubaguzi,ni kwamba kila kazi ina qualification,Rage hana qualification za kuwa mbunge wa kabila tukufu kabisa la wanyamwezi wa utemi wa unyanyembwe, ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Mnyamwezi mmelinajisi bunge letu kwa kumpitisha huyo kuwa mbunge, ni haki bunge la sasa kuwa halina heshima shauri ya hizo njaa zenu mwanyamwezi.

Grave mistake ya pili.

Ni eti kumtambikia Lowassa kwenye kaburi la Mtemi shujaa Issike Mwanakiyungi,Lowassa hasitahili kabisa heshima kama hiyo yeye siyo rais ,wala waziri mkuu, uwaziri mkuu alijihuhuzuru tena alijihuhuzuru siyo kwa uzuri kwa kashifa nzito, leo eti mnampeleka mtu kama huyo akalinajisi kaburi la shujaa kama Yule kwa lipi alilofanya? ni uvivu wa kufikiri kabisa, kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.

Mwarabu ndio katuroga kwa kutuletea dini na mila zake za utwana na ubwana kwa maoni yangu lakini.
 
safi sana wanatabora fanyeni maamuzi magumu
 
Nani kawaroga wanyamwezi?

kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.

Tangu lini DOdoma mkawa na chakula cha kutosha bhana, wacha majigambo mkuu!! Kama ni mistake wameshafanya ila acha kuwaambia wana njaa...waje Dodoma muwalishe Ubuyu Jangwani huko? We kama upo Mjini wanywa mvinyo sawa, nenda Mpwapwa huko uone maisha ya wenzako yalivyo magumu...kule kuna watu maisha yao yanategemea mapito ya treni,ili wauze ubuyu...gogo likizingua tu...majibu unayo!! Jiheshimu bhana!!
 
sina hamu na hawa viumbe....mi napita hu hapa

Sehemu yoyote iliyokaliwa na watu wageni wengi hasa waarabu, huwa hakuna maendeleo hata kidogo. kazi ni kuwaajili wazawa kwenye garage zao basi na kuwalipa viposho vidogovidogo kila siku na kuwaacha wa-ji-nga vile. wewe fikiria nimeenda pale Tabora school mwaka 2001, hata daladala hakuna, ni baiskeli tu.
Wana hali mbaya sana.
 
Nani kawaroga wanyamwezi?


Blunder wanazofanya wanyamwezi ni za dhahiri mno ni kama vile wamekata tama ya maisha wanangoja wafe tu, uwezo wa kufikiri umeisha kabisa sasa wanafikiria kwa kutumia magoti ndiyo hiyo inapelekea wanafanya grave mistakes.

Grave mistake ya kwanza

Haiyamkiniki kabisa kumchagua Aden Rage kuwa eti mbunge wa Tabora mjini centre ya wanyamwezi, Aden Rage ni msomali,matatizo ya wanyamwezi anayajua mnyamwezi mwenyewe bila kuelezwa na mtu, matatizo ya wasomali anayajua msomali mwenyewe bila kuelezwa na mtu, hapa msije mkaniletea suala la ubaguzi,ni kwamba kila kazi ina qualification,Rage hana qualification za kuwa mbunge wa kabila tukufu kabisa la wanyamwezi wa utemi wa unyanyembwe, ila kama Tabora mtahitaji mtu wa utapeli tapeli, na brabra, na uswahili mwingi na maneno maneno basi Rage ndiyo anafaa. Mnyamwezi mmelinajisi bunge letu kwa kumpitisha huyo kuwa mbunge, ni haki bunge la sasa kuwa halina heshima shauri ya hizo njaa zenu mwanyamwezi.

Grave mistake ya pili.

Ni eti kumtambikia Lowassa kwenye kaburi la Mtemi shujaa Issike Mwanakiyungi,Lowassa hasitahili kabisa heshima kama hiyo yeye siyo rais ,wala waziri mkuu, uwaziri mkuu alijihuhuzuru tena alijihuhuzuru siyo kwa uzuri kwa kashifa nzito, leo eti mnampeleka mtu kama huyo akalinajisi kaburi la shujaa kama Yule kwa lipi alilofanya? ni uvivu wa kufikiri kabisa, kama ni njaa basi mje kwetu Dodoma kuna chakula cha kutosha tuwagawieni kuliko kufanya vitu vya aibu nama hii.

Enyi wanyamwezi msiendekeze njaa zenu, njaa mbaya, njaa ndiyo kuwa inamfanya mtu aazirike haraka sana, njaa zenu zutawauwa.
Mtani leo umetuamkia vibaya,, ila kwa kweli kuna points nyingi katika uzi wako,, tatizo letu kubwa wanyamwezi ni njaa kama ulivyosema, kwanza huu utaratibu wa kuwasimika utemi watu wasio wanyamwezi umeanza lini?? kama si njaa tu,, tabora imepoteza heshima yake,, wale mashujaa wetu waliheshimika na dunia njima na taifa letu leo tumewageuza, wengine watakuponda subiri uone,,,,, maana wanyamwezi wana msemo KUYANGULA MSABHI ALAKUWILA SABHA NANHO!!
 
kama hiyo ya Rage na Lowassa ni laana nadhani tutalaaniwa zaidi nchi tukiwapa WACHAGA. HAWA NI LAANA NA BALAA KULIKO HAO ULIOWATAJA. MUNGU IBARIKI TZ TUEPESHE NA CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (CHADEMA)
 
Hongera sana Mtani umetupasha tukapashika Mimi nataka kusema wazi kuwa Aliyeturoga ni Mwarabu wakati ule wa Biashara ya Utumwa hapo ndipo mambo yalipoanza kutuharibikia mpaka leo hii hali ni mbaya sana Maendeleo hakuna wala Mwamko haupo watu wanakaa-kaa tu Ki-Mwinyi ni aibu kweli Aden Rage!!!!!!!ni Aibu sana tuombe Mungu atusaidie tuamuke toka Usinginzi tuliolazwa na Waarabu enzi hizo.
 
Tangu lini DOdoma mkawa na chakula cha kutosha bhana, wacha majigambo mkuu!! Kama ni mistake wameshafanya ila acha kuwaambia wana njaa...waje Dodoma muwalishe Ubuyu Jangwani huko? We kama upo Mjini wanywa mvinyo sawa, nenda Mpwapwa huko uone maisha ya wenzako yalivyo magumu...kule kuna watu maisha yao yanategemea mapito ya treni,ili wauze ubuyu...gogo likizingua tu...majibu unayo!! Jiheshimu bhana!!
basi basi yamekwisha baba,msamehe bureeee alitaka tu kuwapa changamoto teh teh teh
 
Blayi wa Mpwapwa natumai sisi Wasukuma hujatuunganisha na Wasukuma wa Kusini (Wanyamwezi)!! La sivyo shingo yako ni halali yetu.

OUT OF TOPIC

Nasikia Wanyamwezi wanakuwekea kikao muda huu!
 
Last edited by a moderator:
kama hiyo ya Rage na Lowassa ni laana nadhani tutalaaniwa zaidi nchi tukiwapa WACHAGA. HAWA NI LAANA NA BALAA KULIKO HAO ULIOWATAJA. MUNGU IBARIKI TZ TUEPESHE NA CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO (CHADEMA)

Ila mimi nasema Mungu atuepushe na CHAMA CHA MAJAMBAZI(CCM)maana toka uhuru wametunyonya sana na kuyafanya maisha ya wana-Tabora kuwa magumu sana.
 
Mtani leo umetuamkia vibaya,, ila kwa kweli kuna points nyingi katika uzi wako,, tatizo letu kubwa wanyamwezi ni njaa kama ulivyosema, kwanza huu utaratibu wa kuwasimika utemi watu wasio wanyamwezi umeanza lini?? kama si njaa tu,, tabora imepoteza heshima yake,, wale mashujaa wetu waliheshimika na dunia njima na taifa letu leo tumewageuza, wengine watakuponda subiri uone,,,,, maana wanyamwezi wana msemo KUYANGULA MSABHI ALAKUWILA SABHA NANHO!!

mabadiliko yanaanza na ww,,,,je umeifanyia nini Tabora? The Boss unaitwa huku
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom