Wanyama wasitugombanishe...

Wanyama wasitugombanishe...

Hakika, kwani hoja ya kuwa nani kachinja ni ya kipumbavu.
Hivi kwenye harusi huwa tunatangaziwa aliyechinja wanyama? Na supermarket je? Hizi kelele zote ni za watu wanaonunua nyama magengeni. Waislam safi kama hawa (ambao hununua vitoweo vyao supermarkets), hawawezi kugombania nani kachinja:

1. Dr. Jakaya Kikwete
2. Prof. Juma Kapuya
3. Dr. Shukuru Kawambwa
4. Dr. Hussein Mwinyi
5. Dr. Asha-rose Mtengeti-Cleophace Migiro
6. (Dr) Syrose Bhanji
7. Dr. Dau Ramadhani
8.(Dr) Zakhia Meghji
9. (Dr) Hassan Ngwilizi
10. (Dr) Zuberi Mtemvu
11. (Dr) N.k

Njaa kali ndio tunagombana juu ya nani amechinja.
 
vita haina FAIDA ni hasara tupu,tuishi bkwan upendo na amani kama tulivyozoea
 
Mkuu mie sitaki vita na ndiyo maana nasema Inabidi Kujiandaa Kuzuia Vita. Je Serikali ya CCM imejiandaa kuzuia vita au ndiyo kwanza inazidi kuweka mafuta ili moto uwake? Utanilaumu mimi ila amini ukweli ndiyo huo.

Watu wa West wangelilala hadi Waarabu waichukue Bamako huko Mali, ingelikuwa hadhithi nyingine. Na kama wangelifika mapema, gharama zingelipungua. Rwanda na Yugoslavia hivyo hivyo. Hapa tusimsingizie Sikonge wala Mungu ila Ukondoo wetu na Ujinga wetu umeanza kutufanya tuchinjane kwa sababu HATUTAKI KUJIANDAA NA VITA.
mkuu nawewe usifikie huko bwana kwenye kutaka vita kumbuka kanuni za ukristo
 
vita haina FAIDA ni hasara tupu,tuishi bkwan upendo na amani kama tulivyozoea

Hujui historia wewe! Vita ina faida nyingi ingawa zinapatikana baada ya gharama kubwa,uhai na mali zinapotea! Acha mbaya na iwe mbaya! Siku hawa wahuni ambao wamedekezwa na utawala huu wakija kuchukua uhai wako ama ndugu wa karibu utanikumbuka!
 
Watu kama nyinyi ndio vishawishi wa kuvuuga amani katika nchi kwa kuona kwa jicho moja na sio kutumia macho yote mawili.Kama ulikuwa huna nasaha ya kupendeza na yenye amani zaidi bora ungenyamaza tu.Ni vizuri ujenge hoja yenye kulenga mada ambayo imeletwa kwa ajili ya amani na sio uchochezi.

Mimi sioni tatizo lipo wapi kwakweli silioni kabisa.Mimi naishi EU na kuna sehemu za machinjo za wakristo,waisilamu na hata za Juwish na bucha vile vile zipo za aina zote ni wewe mwenyewe wapi unapendelea kununua nyama iliyo chinjwa na yupi.Hii nchi ni kubwa sana maeneo yapo mengi tu ambayo yanaweza yakatengwa kwa ajili ya kuchinja nyama kwa dini tofauti.Kwahiyo serikali ndiyo inatakiwa ichukue hatua za haraka ili kuepusha machafuko haya.Miaka yote tumekaa kwa salama lakini wapo vidudu watu ndio wenye kujenga chuki.Na vidudu hawa wapo ktk dini zote mbili hizi na sio dini moja tu tusijifanye ndio wakweli kihivo lazima tuangalie kwa macho mawili hapa tusitumie jicho moja tafadhali.Mtu yeyote anaejifanya kwamba wanaoanza ni watu fulani hapo unakuwa ni unafik na sio ukweli.Na huu unafik huu ndio sumu kubwa inayoila nchi hii na bado watu hawaja-amka mpaka hapo watakapozinduka itakuwa "too little too late" :confused2::shut-mouth:
EU ndio wapi? Mi niko Afrika...
 
Kikwete na CCM nitaendelea kuwalaumu asilimia 99%. Walilipanda hili bomu wakidhani wanaikomoa CHADEMA kumbe wanaingamiza nchi yote.

Nchimbi na Wassira pia wameonesha udhaifu mkubwa sana ktk kushughulikia haya masuala.....of coz kwa vile Rais naye ndivyo afanyavyo.

Hii serikali ni laana na janga kwa Tanzania
 
Punguza hasira mkuu, kila mmoja ana imani na dini yake na angependa kuitetea kwa namna yake! Sisi hapa ni GTs hatupaswi kwenda mwendo huo mkuu! Pole sana kwakuwa limekuumiza sana jambo hili!

Kuna wapuuzi wanaojifanya wao ndo watoto wa Mungu ndo chanzo cha yote haya, wamekuwa wanaachiwa wanajiona wao ndo kila kitu. Acha tutiane adabu kidogo ili heshima iwepo, hata Yesu aliwahi mwita Herode Mbweha baada ya kuzidisha USENGEnyaji kama huu wanaofanya hawa akina kidevu
 
hiv kuku na wenyewe wanangaliaga kibra!!!!

manake mi najua shamba boy mmoja alikuwa anachinjaga kuku wa bos wake alie kuwa na tenda supa maket,
jamaa anakanyaga mabawa na miguu, kata kichwa tupa kule!!! fasta, dk 8 kuku 50 washaaga dunia
 
Ahh nini kuuana Kisa nyama imechinjwa na nani ? Waweka vibao mabutchani ..ipi halal ipi sio mtucachague yaishe . Kunaishu muhimu za kufanya kujenga taifa letu zaidi ya nyama kachinja nani . Siku zote hizo ilikuaje ?
 
Kosa la nchi kuendeshwa bila uadilifu na sheria kushika hatamu, nchi ina kanuni zake kwa nini hazifanyi kazi au zinapuuzwa mpaka watu kuuana. Tumeishi nchi nyingi ambazo kila dini ina machinjio yake, iweje leo kuwe na mashaka kama haya, sheria ziko wapi? hakuna haja ya kubabaishana na kutukana dini za watu, kila mmoja wetu ana jukumu la kuheshimu fauth ya mwengine hata akiamua kuabudu juwa, na ni jukumu la serikali kulinda heshima hio ya waumini bila ya kuwa biased. Mahakama na sheria dhaifu ndio chanzo cha yote haya, kusema kweli sifahamu hasa kwa nini tufike hapa na wengine ati wakishadidia humu mitandaoni kwa wananchi kupigana, shame on you.
Hivi tunashindwa na ustaarabu wa kujiuamulia wenyewe ni machinjo yepi ya faith gani? Uongozi unapolala pamoja sera kubwa za centralization na viongozi dhaifu wanaofocus kwenye matumbo yao ndio sababu za machafuko haya, pande zote mbili zinatakiwa kukaa chini na kujitathmini na sheria za nchi zinatakiwa zifanye kazi, hivi bunge, mahakama, wizara za sheria zina faida gani ikiwa tumefikia hadi hakuna hata urgency ya kutafutia ufumbuzi wa suala hili, si waislamu wala wakristo wenye haki kubwa ya mwenzake, na kama sheria imewaruhusu waislamu kuchinja pekee basi hio si sheria bali ni dhihaka kwa mfumo mzima wa sheria nchini, imefika hadi hii ya kutoaminiana basi kila mmoja aachiwe license ya kujichinjia kwa wanaowafata, na lizungumzwe kwa upana bila ya bias, matusi na mabishano yasiokuwa na maana.

Elimu inahitajika na sheria zinatakiwa zifanye kazi.
 
kaka jambazi hata wewe umeingia huko, ni mala ngapi tumekula nyama hizo leo ndo tujifanye hatutaki!
Tuishi kwa amani na kuvumiliana na waislam mkubali kuwa tunawavumilia kwa yoote haya!
Sikiliza wewe sisi tulikuwa tukila nyama hii kabla hatujajua ni nini hawa mapepo huwa wananuwizia wapochinja tukaja gundua ni sehemu ya ibada zao za makafara ndio maana na sisi kama katiba inavyosema tuna uhuru wa kuamini na kuabudu tutakacho tusilazimishane kula nyama zilizochinjwa na hao mashetani,

halafu, kwani wamelazimishwa waje wanunue nyama kwenye bucha hizo ambazo tayari wanajua nyama yake imechinjwa na mkristo kwa nini wasiende kula nyama ambazo wanauhakika zimechinjwa na shitani mwenzao? Huu ni upumbavu uliopindukia na wala si wa kuutetea wala kuuchekea.

Kwani sisi ndo wa kwanza kuwa na bucha za nya za wasio waislam mbona nchi nyingi kabisa duniani watu wanachinja nyama zao cha msingi watoe taarifa tu kuwa nyama ya bucha hili inachinjwa na muislam au mkristo ili mtu afanye maamu ya akanunue wapi ikiwa mkristo anaharaka zake akaamua kununu nyama iliyochinjwa na mkristo ni hiari yake maana anajua kabisa anakwenda kula kitu cha aina gani vivyo hivyo muislam.

Sasa haya mambo ya kulazimisha eti ohh mbona miaka yote hatukuchinja, ooh sijui tuwaache waendelee kuchinja kwani wanahaki miliki ya wanyama wetu upuuzi mkubwaa huu unliolelewa kimakusudi na viongozi walioko madarakani
 
Wanyama hawahusiki. Hawajui kinachoendelea. Wanashangaa tu wanachinjwa. Well, nakuelewa unachosema. Ukweli ni kuwa suala la kuchinja silo linalotugombanisha ila ni tukio linalotumika kuonesha ugomvi, chuki na hasira tulizonazo miongoni mwetu.

Kinachotuumiza ni UJINGA TU!!! Bahati mbaya dini inashamiri sana kwenye ujinga kwa kuwa inakimbia LOGIC (Mantiki). Dini kwa namna inavyoenezwa kwa Waafrika haina jeuri ya kusimama mbele ya Mantiki ama Sayansi kwa kuwa Sayansi pia imewekeza kwenye tafiti na mantiki.

UJINGA UKIENDELEA NA DINI ZIKIENDELEA KUWEKEZA KWENYE UJINGA....THEN WAJINGA WENYE NGUVU ZA MIILI WATAUANA TU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom