Wanyama wanathamani kiasi hicho tanapa heshima yenu

Wanyama wanathamani kiasi hicho tanapa heshima yenu

Royal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2016
Posts
1,467
Reaction score
2,760
Wanyama wanathamani kiasi hicho tanapa heshima yenu

FB_IMG_1758215057598.jpg
 
Eatu wana jeuri sana.

Wameyawekea thamani maisha ya wanyama.
 
Tembo hana bahati sawa na kugongwa treni ni sawa nani mwenye akili nani mwenye njia mbadala nadhani sometimes tusijitoe ufahamu
Ukiwa mjini haya mambo unawezakufikiri ni hadithi. Unapafahamu Igava huku Mbarali? Tembo huja mtaani kwenye makazi ya watu.So hapa makazi ya watu yanakuwa yamejitoa ufahamu?
By the way huyu Tembo yeye ni vipi kwani mpaka awe na thamani hiyo
 
Kuna kipindi Morogoro, Kuna Mzee alivamiwa na Tembo Nyumbani kwake wakitaka kumuua kijana wake wa Shamba.

Akatoka Na Li gobole lake ndani na kumuua yule Tembo.

Alipata msuko suko mkubwa sana kutoka TANAPA, mpaka alipo walipa 45M Cash
 
Wanasema wanyama wana thamani kubwa kuliko binadamu, wanasema wameajiriwa kwa ajili ya wanyama. Binadamu akikamatwa mbuga za wanyama atateswa mpaka afe na kuwa asusa kwa wanyama na ndege wala nyama. Usiku magari hukaguliwa kama yamegonga mnyama kila hatua kadhaa kuna kizuizi kukagua magari barabara zinazopita mbuga za wanyama ni kero usiku
 
Back
Top Bottom