Malo Robi
JF-Expert Member
- May 16, 2017
- 322
- 542
Akihojiwa katika kipindi cha michezo cha Sports Extra kinachorushwa na Clouds fm Victor Wanyama Anayekipiga na timu ya Totenham Hotspots ya uingereza amesema amewahi kucheza michuano ya mitaani ya huko kwao kama ilivyo hapa Tanzania michuano hiyo maarufu kama NDONDO CUP!
Pia ameongeza asingekuwa na ratiba aliyopangiwa angetamani kukipiga hata mechi moja kwani anapenda sana kushiriki hiyo michezo. Na akaahidi mwakani kama atakuja ataweza kucheza NDONDO cup!
Maisha hayana kanuni kwa kweli!
Pia ameongeza asingekuwa na ratiba aliyopangiwa angetamani kukipiga hata mechi moja kwani anapenda sana kushiriki hiyo michezo. Na akaahidi mwakani kama atakuja ataweza kucheza NDONDO cup!
Maisha hayana kanuni kwa kweli!