DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Hii snapchat ina filter Flan ivi amazing,basi watoto wa kike wa zama izi hutumia those filter kutuvutia.
But ukweli unabaki pale pale hawa wanawake wanaotumia picha za snapchat ni kuwaogopa sana sana kwani ukikikutana nae heeeeeeheeee unaweza jikuta wewe ndo Mrembo kuliko hata uyo Mrembo(miss snapchat).
My friend this is according to my experience sio story za kalimakonga wala Halfu holela holela zile story za mzee Abunuasi.
Kidume unajikoki na silaha za kutosha from the bottom to the top(pamba kali) unajua unaenda kukutana na the most beautiful woman in the world,doh! Kumbe ni average woman....snapchat hiiiii
HITIMISHO:wanawake muwe serious kidogo hata siku moja moja jmn mnatupotezea nauli na muda pia.
But ukweli unabaki pale pale hawa wanawake wanaotumia picha za snapchat ni kuwaogopa sana sana kwani ukikikutana nae heeeeeeheeee unaweza jikuta wewe ndo Mrembo kuliko hata uyo Mrembo(miss snapchat).
My friend this is according to my experience sio story za kalimakonga wala Halfu holela holela zile story za mzee Abunuasi.
Kidume unajikoki na silaha za kutosha from the bottom to the top(pamba kali) unajua unaenda kukutana na the most beautiful woman in the world,doh! Kumbe ni average woman....snapchat hiiiii
HITIMISHO:wanawake muwe serious kidogo hata siku moja moja jmn mnatupotezea nauli na muda pia.