GE2025 Wanu: Hakuna sababu ya kumnyima kura Samia na Mwinyi tunasema "paka wanyumbani hafukuzwi"

GE2025 Wanu: Hakuna sababu ya kumnyima kura Samia na Mwinyi tunasema "paka wanyumbani hafukuzwi"

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,234
Mtoto wa Rais Samia bibie Wanu naye amuombea kura mama yake pamoja na Dkt Mwinyi huku akitanguliza na msemo ukisema "paka wanyumbani afukuzwi" Mama yake naye akauunga mkono kwa asilimia zote

 
Mtoto wa Rais Samia bibie Wanu naye amuombea kura mama yake pamoja na Dkt Mwinyi huku akitanguliza na msemo ukisema "paka wanyumbani afukuzwi" Mama yake naye akauunga mkono kwa asilimia zote


Mara Chura mara Paka ..... sisi Kenge tuzidi kukomaa tu. Dawa inawaingia taratibu. Tarehe 29 wapigiane kura wao wenyewe.
 
Paka tena ndio nini wazanzibari kwa mfumbo

USSR
 
Back
Top Bottom