Wanted: KIDDLE PAPERWHITE

Wanted: KIDDLE PAPERWHITE

Mwl.RCT

Platinum Member
Joined
Apr 5, 2009
Posts
15,629
Reaction score
22,415
kindle1.PNG
kindle2.PNG

Je hii device kwa Dar es salaam nitapata duka gani.
Na je ni tsh ngapi?. Msaada Tafadhali nahitaji kwa haraka.​

Mrejesho: (24 May 2013 )

Nimefanikiwa kuipata hii device Amazon kindle Paperwhite week hii.

Kindle.jpg

Shukrani kwa wana Jf kwa ushirikiano wenu.

Hasa ndugu yetu, Mwana Jf mwenzetu Young Master kwa kufanikisha kupata hii device,Aksante sana.
 
Kusomea vitabu, "ebooks" . Ni nzuli kwa wadau "addicted" na usomaji wa vitabu mahala popote.
inatumia simcard au ni wifi?au hivyo vitabu unavisave vipi huko kwa kiddle...
 
mkuu ni kindle.

Kuna duka moja samora linaangalizana na ofisi za dailynews kuna friend of mine amenunua hapo. Nitakupa na namba ya muuza duka kwa pm badae.
 
tcoal9 Shukran sana mkuu. Japo mzigo ulichelewa kuwasili lakini si mabaya ili mradi umefika. Let me know kama utahitaji any other devices mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom