Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,199
- 37,526
Mkuu ni mkubwa kiumri hata maumbile yake ni makubwa sana umkimlinganisha na Rasta.Wakikaa pamoja utadhani Mama na mwanae.Hakuna ubishi aliyechangia kuharibu mahusiano yao ni Lema alipotangaza kwenye mkutano wa hadhara NMC kwamba Rasta hana chochote anafungwa na Dada yake ?.Dada magreth hakuchukua hatua zozote kuokoa uhusiano wake na Mpenzi wake Rasta hatima yake kaachwa anasingizia dola 16,400/=.Kampuni wanaimiliki pamoja Rasta katimkia US kaacha magari [Noah] asset za kutosha zenye thamani kubwa kuliko 16,400 bado haridhiki sana sana anachokufuata ni penzi lililoota mbawa.
Mkuu, kumbe huyu dada yake Lema, ni mkubwa kiumri kumzidi Kamada Rasta?