Hapo kinachofuatwa ni kama baadhi ya wachangiaji walivyosema, ukifanya kazi na directors wa bondeni ni rahisi kazi zako kuonekana kwenye channels kubwa coz mtu kama Godfather ashaaminika huko kwamba kazi zake ni za viwango. Bongo nowdays tunajitahidi pia, tungekuwa na mkono huko kuna baadhi ya kazi zinaviwango kabisa ya kuchezwa kwenye tv kubwa, mfano PACHA WANGU ya MAVOCO iliyotengenezwa na AJ ni video nzuri sana,inastahili kuchezwa tv yoyote