Katika hali ya kutaka kushindana na safari za Kikwete nje ya Nchi, sasa Chadema wao wamebuni njia mbadala za kutuma muwakirishi wao nje ya nchi kwa kupiga kambi huko na kutumia pesa nyingi za ruzuku, kwa kufanya biashara mugando ya kuuza kadi ya Chama moja kwa Tshs. 200,000=/. Huku matumizi ya mjumbe huyo kwa siku ni zaidi ya million moja na nusu ya kitanzania. Wanje tangu nimsikie Nje ya Nchi akiuza kadi za chama ni siku nyingi, je matumizi yake ni sawa na alichokiendea huko, ama ndo kujikomba kwa Watawala wetu wa zamaini? Ukoloni noma.
Wenje anapima upepo kama Chama chake kikishinda kwa bahati mbaya nae akateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya nje ataweza kutumia fedha iposavyo! Wa London hata Kikwete akienda wanajaa sana, ni uzalendo wa nyumbani na ushirikiano kwa ngeni yeyote bila kujali Itikadi zao hata akija mjumbe wa TLP atapokelewa vizuri kwa ushabiki uliotukuka. Hapa tunacho kiangalia ni kuogopa aibu ya kukashifiwa na wenzetu kuwa ndugu yenu aliwatembelea wala hamkumsapoti, hivyo nawaomba Chadema msivimbe vichwa sana kwa hili la mjumbe wenu kupokelewa vizuri na michango tuliyompa.
Tushirikiane kujenga nchi yetu siyo kuibomoa
Wenje anapima upepo kama Chama chake kikishinda kwa bahati mbaya nae akateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya nje ataweza kutumia fedha iposavyo! Wa London hata Kikwete akienda wanajaa sana, ni uzalendo wa nyumbani na ushirikiano kwa ngeni yeyote bila kujali Itikadi zao hata akija mjumbe wa TLP atapokelewa vizuri kwa ushabiki uliotukuka. Hapa tunacho kiangalia ni kuogopa aibu ya kukashifiwa na wenzetu kuwa ndugu yenu aliwatembelea wala hamkumsapoti, hivyo nawaomba Chadema msivimbe vichwa sana kwa hili la mjumbe wenu kupokelewa vizuri na michango tuliyompa.
Tushirikiane kujenga nchi yetu siyo kuibomoa