Wangapi watasheherekea Kwanzaa?

I like the Nguzo saba principles...

bookgraphic-65tr.gif

booktitle3trfx.gif

garlandstrip425tr.gif

saba-shadow12trw.gif
NGUZO SABA
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva](The Seven Principles)[/FONT]
s-umoja-shadowtr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Umoja (Unity)
To strive for and maintain unity in the family, community, nation and race.
[/FONT]
s-kujichagulia-shadtr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Kujichagulia (Self-Determination)
To define ourselves, name ourselves, create for ourselves and speak for ourselves.
[/FONT]
s-ujima-shadowtr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Ujima (Collective Work and Responsibility)
To build and maintain our community together and make our brother's and sister's problems our problems and to solve them together.
[/FONT]
s-ujamaa-shadowtr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Ujamaa (Cooperative Economics)
To build and maintain our own stores, shops and other businesses and to profit from them together.
[/FONT]
s-nia-shadowtr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Nia (Purpose)
To make our collective vocation the building and developing of our community in order to restore our people to their traditional greatness.
[/FONT]
s-kuumba-shadow03tr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Kuumba (Creativity)
To do always as much as we can, in the way we can, in order to leave our community more beautiful and beneficial than we inherited it.
[/FONT]
s-imani-shadowtr.gif
[FONT=Arial, Helvetica, Geneva]Imani (Faith)
To believe with all our heart in our people, our parents, our teachers, our leaders and the righteousness and victory of our struggle.
[/FONT] ­ Maulana Karenga
 
Leo tunatafakari: Kujichagulia (Self-Determination)
To define ourselves, name ourselves, create for ourselves and speak for ourselves.

Sisi kama watu weusi tuna nafasi gani katika kujitambua? Kwa nini mpaka leo tunakubali identity tuliyopewa na wengine? Kukubali huko ndiko kunakotupelekea kuamini kuwa " Miafrika ndivyo tulivyo." Kukubali huko ndiko kunakotufanya tuamini kuwa tuna laana na hakuna anayeweza kutubadili. Kukubali huko ndiko kunatufanya tuwakumbatie wakina Mugabe ambao wamejiteua kuwa ndio wasemaji wetu. Ni lini tutaacha kukumbatia tuliyoletewa na kukumbatia cha kwetu? Sikukuu hii ikiwa ni mojawapo!Ni lini, tutakataa, na kusema kwa nguvu, kwa sauti kubwa " hapana, sivyo tulivyo!"

Amandla...........
 
Leo tunatafakari: Kujichagulia (Self-Determination)
To define ourselves, name ourselves, create for ourselves and speak for ourselves.
Sisi kama watu weusi tuna nafasi gani katika kujitambua? Kwa nini mpaka leo tunakubali identity tuliyopewa na wengine? Kukubali huko ndiko kunakotupelekea kuamini kuwa " Miafrika ndivyo tulivyo." Kukubali huko ndiko kunakotufanya tuamini kuwa tuna laana na hakuna anayeweza kutubadili. Kukubali huko ndiko kunatufanya tuwakumbatie wakina Mugabe ambao wamejiteua kuwa ndio wasemaji wetu. Ni lini tutaacha kukumbatia tuliyoletewa na kukumbatia cha kwetu? Sikukuu hii ikiwa ni mojawapo!Ni lini, tutakataa, na kusema kwa nguvu, kwa sauti kubwa " hapana, sivyo tulivyo!"

Amandla...........

Actions speak louder than words....I can show you better than I can tell you...your bark is worse than your bite...etc. etc.....

Mpaka tutakapoanza kuongea kwa vitendo tutabaki kuwa Ndivyo Tulivyo hata mfanyeje. Hata wakiniondolea signature yangu, hata hata nikibaki peke yangu nisemaye ndivyo tulivyo, yaani hata iweje, tusipotenda maneno yetu ya kukataa kuwa ndivyo tulivyo hayatabadilisha ukweli. Kitu kitakachobadilisha ukweli ni vitendo. Maneno hayabadilishi ukweli.
 
Actions speak louder than words....I can show you better than I can tell you...your bark is worse than your bite...etc. etc.....

Mpaka tutakapoanza kuongea kwa vitendo tutabaki kuwa Ndivyo Tulivyo hata mfanyeje. Hata wakiniondolea signature yangu, hata hata nikibaki peke yangu nisemaye ndivyo tulivyo, yaani hata iweje, tusipotenda maneno yetu ya kukataa kuwa ndivyo tulivyo hayatabadilisha ukweli. Kitu kitakachobadilisha ukweli ni vitendo. Maneno hayabadilishi ukweli.

Nakubaliana na wewe kwenye hili kuwa ni vitendo vyetu vitakavyoonyesha kuwa "sisi sivyo tulivyo". Ni juu ya kila mmoja wetu kuhakikisha kwa vitendo kuwa hapana, hatuko hivyo. Lakini kabla ya yote tunawajibika kuelewa ni nini tunachokataa na kuweka wazi msimamo wetu. Msimamo ambao hautakuwa wa maneno tu bali utaongozana na vitendo.

Amandla........
 
Leo ni siku ya kutafakari Ujima (Collective Work and Responsibility):
To build and maintain our community together and make our brother's and sister's problems our problems and to solve them together.


Ni kwa vipi tunalia na mwenzetu anapopata shida? Mara ngapi tumeangalia na wakati kufurahia matatizo ya wenzetu? Kwa nini imechukua mpaka watu wa magharibi kutusema ndiyo tuone aibu jinsi tunavyowatendea albinos? Aui tunapoagiza magari ya fahari kwa ndege wakati wenzetu hata nauli ya daladala inawashinda! Ni vipi, wewe na mimi, tumekuwa our brother's ( or sister's) keeper? Nani atatupenda kama sisi wenyewe hatupendani?
 
Leo tunafakari Ujamaa (Cooperative Economics):
To build and maintain our own stores, shops and other businesses and to profit from them together.

Wangapi tumeweza kufanya hivi? Au hii sera haina nafasi tena katika jamii ya leo?
 
Leo tunafakari Ujamaa (Cooperative Economics):
To build and maintain our own stores, shops and other businesses and to profit from them together.

Wangapi tumeweza kufanya hivi? Au hii sera haina nafasi tena katika jamii ya leo?


Fundi kwanza asante. Pili, hii itawezekana pale tu tutakapojijengea uaminifu kwa kila mmoja wetu (mtu binafsi) na uaminifu kwa society. Kama mtu anaweza kukikimbia na michango ya harusi aliyochangiwa kwa ajili ya harusi yake mwenyewe, tunaweza kumuamini na kumpa usimamizi wa hizo biashara ?

Kuna mahali hili somo la kuwafikiria wengine kama tunavyojifikiria wenyewe linatolewa ? May be tutaachana na selfishness leading to the elimination of ufisadi.

Baada ya hapo FM, hili litawezekana. Kwa sasa hata kukiwa na sera, bado hatutaweza.....ni wizi mtupu.
 
Fundi kwanza asante. Hii itawezekana pale tu tutakapojijengea uaminifu kwa kila mmoja wetu (mtu binafsi) na uaminifu kwa society. Kama mtu anaweza kukikimbia na michango ya harusi aliyochangiwa kwa ajili ya harusi yake mwenyewe, tunaweza kumuamini na kumpa usimamizi wa hizo biashara ?

Kuna mahali hili somo la kuwafikiria wengine kama tunavyojifikiria wenyewe linatolewa ? May be tutaachana na selfishness leadind to elimination of ufisadi.

Baada ya hapo FM, hili litawezekana. Kwa sasa hata kuwa na sera, bado hatutaweza.....ni wizi mtupu.

Mambo ya uaminifu kwa wabongo. Huo ni msamiati wa kichina.
 
Leo tunatafakari, Nia (Purpose):
To make our collective vocation the building and developing of our community in order to restore our people to their traditional greatness.


Hii kwangu mimi ina uzito wa pekee hasa katika wakati huu ambapo kila ukiangalia kuna mifano ya jinsi sisi kama watu weusi tulivyo nyuma kimaendeleo. Ni rahisi sana kutumbukia katika aidha dhana ya kusema " sisi ndivyo tulivyo" au kuwanyoshea vidole wengine na kudai wao ndiyo waliosababisha na ndiyo wanaoendelea kusababisha matatizo yetu! Hivi kweli, tukiamua, hatuwezi kweli kujitoa huku tuliko? Tunahitaji kweli upendeleo au mfadhili wa kutukwamua? Mimi siamini hivyo. Sijui mwenzangu?
 
Leo tunatafakari, Nia (Purpose):
To make our collective vocation the building and developing of our community in order to restore our people to their traditional greatness.

Hii kwangu mimi ina uzito wa pekee hasa katika wakati huu ambapo kila ukiangalia kuna mifano ya jinsi sisi kama watu weusi tulivyo nyuma kimaendeleo. Ni rahisi sana kutumbukia katika aidha dhana ya kusema " sisi ndivyo tulivyo" au kuwanyoshea vidole wengine na kudai wao ndiyo waliosababisha na ndiyo wanaoendelea kusababisha matatizo yetu! Hivi kweli, tukiamua, hatuwezi kweli kujitoa huku tuliko? Tunahitaji kweli upendeleo au mfadhili wa kutukwamua? Mimi siamini hivyo. Sijui mwenzangu?

Fundi, tukiamua kufanya kweli tunaweza! Lakini kabla ya kuamua inabidi tukasirike na kusema sasa enough is enough. Nikisema sisi Miafrika Ndivyo Tulivyo watu wananikasirikia mimi. Hiyo ni misplaced outrage. Kinachotakiwa kukasirikiwa ni hali tuliyonayo. Unapomkasirikia Ngabu haisaidii lolote. Ngabu akiacha kusema hivyo ina maana hali yetu itabadilika? Hell no.

Najua wengi hawanielewi nini maana na dhumuni la kwangu kusema sisi Miafrika Ndivyo Tulivyo. Wanadhani labda mimi kweli naamini hivyo. Hata hivyo hamna neno. Ipo siku nitakuja kuweka bayana nini namaanisha nikisema hivyo.

Kwa hiyo niko na wewe katika kuamini kuwa tukiamua tutaweza tena bila hata hao wafadhili. Mimi ni mmoja wa wapinga misaada ya kutoka kwa wafadhili wa nguvu sana. Misaada imetudekeza mno. Kuweza tunaweza lakini kabla ya kuweza inabidi tukasirike kwanza. Hayo ndo yangu machache tu kwa leo.....
 
Fundi, tukiamua kufanya kweli tunaweza! Lakini kabla ya kuamua inabidi tukasirike na kusema sasa enough is enough. Nikisema sisi Miafrika Ndivyo Tulivyo watu wananikasirikia mimi. Hiyo ni misplaced outrage. Kinachotakiwa kukasirikiwa ni hali tuliyonayo. Unapomkasirikia Ngabu haisaidii lolote. Ngabu akiacha kusema hivyo ina maana hali yetu itabadilika? Hell no.

Najua wengi hawanielewi nini maana na dhumuni la kwangu kusema sisi Miafrika Ndivyo Tulivyo. Wanadhani labda mimi kweli naamini hivyo. Hata hivyo hamna neno. Ipo siku nitakuja kuweka bayana nini namaanisha nikisema hivyo.

Kwa hiyo niko na wewe katika kuamini kuwa tukiamua tutaweza tena bila hata hao wafadhili. Mimi ni mmoja wa wapinga misaada ya kutoka kwa wafadhili wa nguvu sana. Misaada imetudekeza mno. Kuweza tunaweza lakini kabla ya kuweza inabidi tukasirike kwanza. Hayo ndo yangu machache tu kwa leo.....

Nyani Ngabu. Mimi nakuelewa. Na uko sahihi kabisa kusema kuwa ni lazima tukasirishwe na hali tuliyonayo. Bahati mbaya wengi wetu tumeikubali hii hali kuwa ndiyo mapenzi ya Mungu.

Nimekuelewa sana hata kabla ya kuweka bayana una maana gani. Kwenye hili najua tuko upande mmoja.

Respect.

Amandla.....
 
Leo tunatafakari Kuumba (Creativity)
To do always as much as we can, in the way we can, in order to leave our community more beautiful and beneficial than we inherited it.

Huu ni wakati wa kuwaenzi wakina Shaaban Robert,Mbaraka Mwinshehe, Juma Kilaza, Robert Nesta Marley, Billie Holiday, Louis Armstrong, Tupac Umar Shakur, Miriam Makeba, Toni Morrison, Zadie Smith, Richard Wright, Walter Mosely, James Baldwin, David Adjaye, Ralph Ellison, Wole Soyinka, Chinua Achebe, Okot p'Bitek, Bi Kidude, Shakila,Dr. Hukwe Zawose, Professor Jengo, R. Ntila, Doreen Mandawa, Mohamed Raza, Morris Nyunyusa, Eduardo Tingatinga na wengine wengi. Unakaribishwa kuongezea unaodhani nao wanastaili kuenziwa.

Amandla.....
 
Imani (Faith)
To believe with all our heart in our people, our parents, our teachers, our leaders and the righteousness and victory of our struggle


Leo ndiyo tunamalizia sherehe zetu za kwanza. Tunawasha mshumaa wetu wa mwisho kwenye KINARA chetu na kuandaa KARAMU kwa wale tuwapendao. Baada ya karamu, tunakaa na kutafakari maana ya neno IMANI katika jamii yetu ya watu weusi. Tunajiuliza tulikotea wapi hadi hapa tulipofika. Tunawazungumzia waliotutangulia, wakina; Kinjikitile "Bokero" Ngwale, Mkwavinjika Munyigumba Mwamuyinga ( Chief Mkwawa), Shaka, Frantz Fanon, Aime Cesaire,Dedan Kimathi Waciuri,Waruhiu Itote (General China), Kwame Nkrumah, Julius Nyerere, Leopold Senghor, W.E.B. DuBois, Malcolm X, Martin Luther King, Soledad Brothers, Marcus Garvey,Thomas Sankara, Steve Biko, Malkia Nzinga Mbande, Sojourner Truth, Harriet Tubman bila kuwasahau walio bado nasi wakina; Angela Davis, Desmond Tutu, Nelson Mandela n.k. Ni wakati huu ndiyo inabidi tuwaulize babu zetu, bibi zetu, wazazi wetu kuhusu huko walikotoka. Ni wakati huu inabidi tuangalie wenzetu na kujipa moyo kuwa saa ya mapambano ni sasa! Kuwa pamoja na wakina Gabriel Mugabe, tutafika huko tunakoenda na siku moja tutaweza kuamka na kusema bila kusita kuwa " mimi ni mtu mweusi, mwana wa Afrika na utanikubali kama nilivyo maana ndivyo nilivyo na sivyo unavyotaka niwe".

Baada ya kutafakari hayo, tutazima KINARA chetu na kungoja siku ya kesho na kesho kutwa zitatuletea nini, sisi wana wa Afrika. Tutazisubiri bila kuwa na wasi wasi maana tunajua kuwa hatuko peke yetu kwenye mapambano haya maana tumetoka mbali, na waliotutangulia wako nasi, na iko siku tutafika mwisho wa safari yetu!

Amandla...........Wana wa Afrika! Amandla.......
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom