Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,232
soma comments umalize
ww ni zero kilomita? hatuongelei magari hapa
ww ni zero kilomita? hatuongelei magari hapa
Linaingizwa kwenye meli kabla halijanunuliwa?Hujanielewa bibie, gari linapoingizwa ndani ya meli linatembezwa, hivyo haliwezi kufika bandarini na Zero km. Likitoka katika meli linaendeshwa kupakiwa, na likitoka bandarini lazima liendeshwe hadi linapokwenda. Kwa bahati mbaya sie ni mathematicians
Unamiliki kitu kikiwa mkononiLinaingizwa kwenye meli kabla halijanunuliwa?
Ukilipa Kodi ya gari baada ya kumalizana na supplier huwa unalipa Kwa jina la mmiliki yupi iwapo si wewe mmiliki?U
Unamiliki kitu kikiwa mkononi
Hahahhahaumewachanganya hadi mods wakauweka Jf garage badala ya MMU
HhhhhhNgoja kwanza nijichange mwaka huu ninunue hata baiskeli naona dhalau zimezidi mjini sasa.
Hazina msaada wowote kwenye maisha ya sasa.Bikra zinatafutwa kwa udi na uvumba, taifa lililowekeza ktk ngono na uasherati. Ni jangaa kuu la Dunia.
Kuna mzee Arusha General Mike , Huwa ananunua gari linawekwa kwenye trailer kuanzia linapoanzia huko UK huwa naagiza landrovers tu mpka lina fika kwake Arusha usariverLakini yananunuliwa na 0km
We uliandika hakuna mtu duniani amewahi kumiliki na 0km. Sasa kama mnunuaji na anaponunulia havihitaji meli wala bandari.
Anyway
Kwanza uzi unahusu 0km ya mwanamke.
Bye