Wangapi wanamiliki gari Zero kilometres

Wangapi wanamiliki gari Zero kilometres

Hujanielewa bibie, gari linapoingizwa ndani ya meli linatembezwa, hivyo haliwezi kufika bandarini na Zero km. Likitoka katika meli linaendeshwa kupakiwa, na likitoka bandarini lazima liendeshwe hadi linapokwenda. Kwa bahati mbaya sie ni mathematicians
Linaingizwa kwenye meli kabla halijanunuliwa?
 
Lakini yananunuliwa na 0km
We uliandika hakuna mtu duniani amewahi kumiliki na 0km. Sasa kama mnunuaji na anaponunulia havihitaji meli wala bandari.

Anyway
Kwanza uzi unahusu 0km ya mwanamke.
Bye
Kuna mzee Arusha General Mike , Huwa ananunua gari linawekwa kwenye trailer kuanzia linapoanzia huko UK huwa naagiza landrovers tu mpka lina fika kwake Arusha usariver
 
Back
Top Bottom