lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Kiduku Lilo yupo kwenye kutatua mambo makubwa na changamoto zinazoikabili dunia, anaumiza kichwa na mambo kama Covid, anasaidiaje Uchaguzi wetu, si mmesikia hatujakopa wala kupata ufadhili? Hayo mambo ndio Kiduku anasababisha yawezekane.
Pia Lockdown ilimkumba akiwa Canada hivyo anasubiri anga lifunguliwe aanze mizunguko na shughuli zake za kila siku.
Mara ya mwisho alikua kwenye mazungumzo ya kuinunua JF, sijui iliishia wapi.
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app