Wangapi tumemisi post za Kidukulilo na kwanini haonekani sikuhizi

Wangapi tumemisi post za Kidukulilo na kwanini haonekani sikuhizi

Yupo nchi zile zenye quarantine akirudi hapa atagawa mkoko kwa kila wanaJF. Sasa hivi yupo katika pursuit of spiritual fulfilment ndio maana hata kupost hapost akirudi one of his mission ni kugive back to the community.
Tatizo jf ukisahau password kama umebadili simu lazima uonje joto la jiwe naisi lililo mkumba lilinikumba pia
 
Kiduku Lilo yupo kwenye kutatua mambo makubwa na changamoto zinazoikabili dunia, anaumiza kichwa na mambo kama Covid, anasaidiaje Uchaguzi wetu, si mmesikia hatujakopa wala kupata ufadhili? Hayo mambo ndio Kiduku anasababisha yawezekane.

Pia Lockdown ilimkumba akiwa Canada hivyo anasubiri anga lifunguliwe aanze mizunguko na shughuli zake za kila siku.

Mara ya mwisho alikua kwenye mazungumzo ya kuinunua JF, sijui iliishia wapi.
 
Back
Top Bottom