Same to me...japo mimi nilishtuka nikapiga kuconfirm,kuna wafanyakazi ambao sio waaminifu wanatoa mazungumzo ya wateja.jamaa yangu mmoja alikua anadaiwa na mama mwenye nyumba wake sasa siku akampigiwa na yule mama kwamba lini atampa hela yake jamaa akasema nakutumia sasa hivi...ile kukat simu ikaingia msg km hyo jamaa akatuma bila kuuliza ilikula kwake
Limwandiko lenyewe bayaaa naanzaje kumtumia pesa!Mwingine huyo .... Sio mara ya kwanza yaani ya mwisho nilivomuuliza hakujibu mpaka leoView attachment 770722
Wimbi la Wizi na Utapeli kupitia mitandao ya simu linazidi kuongezeka,Vijana wanatafuta njia nyepesi za kupiga pesa.
Nimefanya study yangu ndani ya mwezi huu nimegundua hawa matapeli ni wafanyakazi wa mitandao ya simu wenyewe au wafanyakazi wanatoa mawasiliano ya mteja kwa watu wa pembeni.
Ndani ya mwezi huu nimejitahidi kuunganisha dots na nimepata majibu....nimegundua kila ninapofanya mawasiliano na mtu ili nimtumie pesa kupitia njia za mtandao wa simu hasa M-PESA inaingia message kunielekeza namba ya kutuma pesa....
HIYO PESA ITUME KWENYE NAMBA HII 0742427692 JINA LITAKUJA ( FAUSTINE KEZE ) HII NI NAMBA YA WAKALA MAANA ILE NAMBA YANGU INATATIZO UPANDE WA M-PESA ASANTE .
Baada ya kuingia message hii nampigia yule ninayetaka mtumia pesa ili niconfirm (last alikuwa mama mwenye nyuma) akakataa akasema yeye hajatuma hiyo sms.
Imenitokea zaidi ya mara 3 nafanya the same hapo ndio inakuwa
Umesahau neno "NIPO KWA WAKALA"
Wimbi la Wizi na Utapeli kupitia mitandao ya simu linazidi kuongezeka,Vijana wanatafuta njia nyepesi za kupiga pesa.
Nimefanya study yangu ndani ya mwezi huu nimegundua hawa matapeli ni wafanyakazi wa mitandao ya simu wenyewe au wafanyakazi wanatoa mawasiliano ya mteja kwa watu wa pembeni.
Ndani ya mwezi huu nimejitahidi kuunganisha dots na nimepata majibu....nimegundua kila ninapofanya mawasiliano na mtu ili nimtumie pesa kupitia njia za mtandao wa simu hasa M-PESA inaingia message kunielekeza namba ya kutuma pesa....
HIYO PESA ITUME KWENYE NAMBA HII 0742427692 JINA LITAKUJA ( FAUSTINE KEZE ) HII NI NAMBA YA WAKALA MAANA ILE NAMBA YANGU INATATIZO UPANDE WA M-PESA ASANTE .
Baada ya kuingia message hii nampigia yule ninayetaka mtumia pesa ili niconfirm (last alikuwa mama mwenye nyuma) akakataa akasema yeye hajatuma hiyo sms.
Imenitokea zaidi ya mara 3 nafanya the same hapo ndio inakuwa salama yangu.
Wafanyakazi wa Mitandao ya simu acheni kutoa mawasiliano yetu ili tutapeliwe pia mjue vyuma vimekaza kila mtu yupo makini.
SIJUI WAMESHTUKA NILIKUWA NAWAANDALIA PIGO MOJA TAKATIFU,HAWAJAJIB TENA.ni shida kubwa kwa jamii.........
Wimbi la Wizi na Utapeli kupitia mitandao ya simu linazidi kuongezeka,Vijana wanatafuta njia nyepesi za kupiga pesa.
Nimefanya study yangu ndani ya mwezi huu nimegundua hawa matapeli ni wafanyakazi wa mitandao ya simu wenyewe au wafanyakazi wanatoa mawasiliano ya mteja kwa watu wa pembeni.
Ndani ya mwezi huu nimejitahidi kuunganisha dots na nimepata majibu....nimegundua kila ninapofanya mawasiliano na mtu ili nimtumie pesa kupitia njia za mtandao wa simu hasa M-PESA inaingia message kunielekeza namba ya kutuma pesa....
HIYO PESA ITUME KWENYE NAMBA HII 0742427692 JINA LITAKUJA ( FAUSTINE KEZE ) HII NI NAMBA YA WAKALA MAANA ILE NAMBA YANGU INATATIZO UPANDE WA M-PESA ASANTE .
Baada ya kuingia message hii nampigia yule ninayetaka mtumia pesa ili niconfirm (last alikuwa mama mwenye nyuma) akakataa akasema yeye hajatuma hiyo sms.
Imenitokea zaidi ya mara 3 nafanya the same hapo ndio inakuwa salama yangu.
Wafanyakazi wa Mitandao ya simu acheni kutoa mawasiliano yetu ili tutapeliwe pia mjue vyuma vimekaza kila mtu yupo makini.