Wangapi mmekutana na huu ujumbe?.

Wangapi mmekutana na huu ujumbe?.

jamaa yangu mmoja alikua anadaiwa na mama mwenye nyumba wake sasa siku akampigiwa na yule mama kwamba lini atampa hela yake jamaa akasema nakutumia sasa hivi...ile kukat simu ikaingia msg km hyo jamaa akatuma bila kuuliza ilikula kwake
Same to me...japo mimi nilishtuka nikapiga kuconfirm,kuna wafanyakazi ambao sio waaminifu wanatoa mazungumzo ya wateja.
 
Wimbi la Wizi na Utapeli kupitia mitandao ya simu linazidi kuongezeka,Vijana wanatafuta njia nyepesi za kupiga pesa.
Nimefanya study yangu ndani ya mwezi huu nimegundua hawa matapeli ni wafanyakazi wa mitandao ya simu wenyewe au wafanyakazi wanatoa mawasiliano ya mteja kwa watu wa pembeni.
Ndani ya mwezi huu nimejitahidi kuunganisha dots na nimepata majibu....nimegundua kila ninapofanya mawasiliano na mtu ili nimtumie pesa kupitia njia za mtandao wa simu hasa M-PESA inaingia message kunielekeza namba ya kutuma pesa....

HIYO PESA ITUME KWENYE NAMBA HII 0742427692 JINA LITAKUJA ( FAUSTINE KEZE ) HII NI NAMBA YA WAKALA MAANA ILE NAMBA YANGU INATATIZO UPANDE WA M-PESA ASANTE .

Baada ya kuingia message hii nampigia yule ninayetaka mtumia pesa ili niconfirm (last alikuwa mama mwenye nyuma) akakataa akasema yeye hajatuma hiyo sms.
Imenitokea zaidi ya mara 3 nafanya the same hapo ndio inakuwa

Umesahau neno "NIPO KWA WAKALA"
 
NGOJA NICHEZE NA AKILI ZA HAWA WEZI,WAMENITUMIA PIA.
IMG_20180606_113611.jpg
 
Wimbi la Wizi na Utapeli kupitia mitandao ya simu linazidi kuongezeka,Vijana wanatafuta njia nyepesi za kupiga pesa.
Nimefanya study yangu ndani ya mwezi huu nimegundua hawa matapeli ni wafanyakazi wa mitandao ya simu wenyewe au wafanyakazi wanatoa mawasiliano ya mteja kwa watu wa pembeni.
Ndani ya mwezi huu nimejitahidi kuunganisha dots na nimepata majibu....nimegundua kila ninapofanya mawasiliano na mtu ili nimtumie pesa kupitia njia za mtandao wa simu hasa M-PESA inaingia message kunielekeza namba ya kutuma pesa....

HIYO PESA ITUME KWENYE NAMBA HII 0742427692 JINA LITAKUJA ( FAUSTINE KEZE ) HII NI NAMBA YA WAKALA MAANA ILE NAMBA YANGU INATATIZO UPANDE WA M-PESA ASANTE .

Baada ya kuingia message hii nampigia yule ninayetaka mtumia pesa ili niconfirm (last alikuwa mama mwenye nyuma) akakataa akasema yeye hajatuma hiyo sms.
Imenitokea zaidi ya mara 3 nafanya the same hapo ndio inakuwa salama yangu.

Wafanyakazi wa Mitandao ya simu acheni kutoa mawasiliano yetu ili tutapeliwe pia mjue vyuma vimekaza kila mtu yupo makini.


Hizi meseji zingekuwa zinaitaja mamlaka iliyo juu, mhusika angekuwa amesakwa na TCRA na ameshaswekwa ndani siku nyingi, lakini kwakuwa zinawasumbua wanyonge basi hawaoni haja ya kulishughulikia.

Najiuliza swali, hivi watendaji wa TCRA hawalioni hili kama ni tatizo!? Hawasikii malalamiko ya wananchi juu ya kero hii? Nadhani vyombo vya habari vingewaita na kuwahoji mubashara wajitete dhidi ya wananchi.
 
Kwa kweli hili limekuwa tatizo sugu, na ajabu si makampuni ya simu wala TCRA inofanya lolote kuondoa usumbufu huu.
 
Hata mm nilitumiwa dadeki zao sikujibu kitu kwa kua nilijua ni matapeli?? sasa swali la kujiuliza ni kwamba namba zetu wanatoa wapi? ina maana huko kwenye mamlaka hamna watu wanatumiwa?
 
Leo mimi nimekutana na huu,inamaana bado wizi unaendelea,na ilikuwa ni muda mfupi kabla sijamtumia mtu hela,inaonekana wanafuatilia pia mazungumzo ya watu-"Ile hela inabidi uitume kwenye namba hii 0672730513 jina litatoka TAHIYATU SELEMANI usitume kwenye ile namba nyingine imefungwa."
 
Wimbi la Wizi na Utapeli kupitia mitandao ya simu linazidi kuongezeka,Vijana wanatafuta njia nyepesi za kupiga pesa.
Nimefanya study yangu ndani ya mwezi huu nimegundua hawa matapeli ni wafanyakazi wa mitandao ya simu wenyewe au wafanyakazi wanatoa mawasiliano ya mteja kwa watu wa pembeni.
Ndani ya mwezi huu nimejitahidi kuunganisha dots na nimepata majibu....nimegundua kila ninapofanya mawasiliano na mtu ili nimtumie pesa kupitia njia za mtandao wa simu hasa M-PESA inaingia message kunielekeza namba ya kutuma pesa....

HIYO PESA ITUME KWENYE NAMBA HII 0742427692 JINA LITAKUJA ( FAUSTINE KEZE ) HII NI NAMBA YA WAKALA MAANA ILE NAMBA YANGU INATATIZO UPANDE WA M-PESA ASANTE .

Baada ya kuingia message hii nampigia yule ninayetaka mtumia pesa ili niconfirm (last alikuwa mama mwenye nyuma) akakataa akasema yeye hajatuma hiyo sms.
Imenitokea zaidi ya mara 3 nafanya the same hapo ndio inakuwa salama yangu.

Wafanyakazi wa Mitandao ya simu acheni kutoa mawasiliano yetu ili tutapeliwe pia mjue vyuma vimekaza kila mtu yupo makini.


Kipimo cha uwezo wa kazi kwa Kangi Lugola
 
Back
Top Bottom